Baba Askofu Kakobe kasome Warumi 13 juu ya
Kutii Mamlaka. 13:1-2: imeandikwa
Kila mtu na atii mamlaka inayotawala, kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu, nazo mamlaka zilizopo zimewekwa na Mungu. 2Kwa hiyo yeye anayeasi dhidi ya mamlaka inayotawala anaasi dhidi ya kile kilichowekwa...
Ijumaa iliopita nilimwona akitembea kwa miguu akitokea upande wa Wizara ya Ardhi, Utumishi na Mipango. Mimi nilikuwa naenda upande wa Ferry naye akawa anavuka ile junction ya Luthuli na Kivukoni (Azania Front?). She looked quite fine and healthy. Ninaamini hajafulia. Kutembea kwa miguu naamini...
Muhashamu Kakobe:
The old saying ‘pride comes before a fall' is no idle old wives tale. It is pride that creates innumerable problems for both ourselves and the rest of the world. Yet, like the proverbial camel unable to stop eating thorns, it is our pride that enslaves us to continuing...
Wengi kumbe hamumjui huyu Jaji Mkuu. Huyu ni mwanasiasa. Hapa anacheza politics kwa sababu ana malengo yake ya kisiasa baada ya kustaafu mwisho wa mwaka. Sintashangaa mweiz Aprili akitoa hukumu ya kuruhusu wagombea binafsi. He is from Zanzibar. One time in the past aliwahi kugombea Urais kama...
Ndege ya Uchumi utabiri wa sheikh Yahya umeanza kutimia. Mmoja wa wana kongamano wa MNF pale Karimjee alimponda sana JK na akasema nchi ina ombwe la uongozi tumemzika recently. Na mazishi yake yalihudhuriwa na viongozi wa juu. Mwingine kakimbizwa Afrika Kusini kwa ajili ya matibabu. Napata picha...
Hata mimi nakubali Her Excellency Maajar is an astute diplomat and a learned lady. No doubt. Even the husband Sharif Maajar is a brilliant person. Hana makuu wala mbwembwe mmanyema yule
"Wale wote wanaosema Tanzania Railways Corporation inatoa huduma mbaya can go to hell"--John Samuel Malecela alipokuwa Waziri wa Usafirishaji na Mawasiliano mwaka 1980. Kauli ilimgharimu akakosa ubunge. Hiyo nina ushahidi iliwaudhi Watanzania wengi. Hizo hapo juu sina ushahidi
Baadhi ya wana JF bwana? Wacha nishangae kihehe "kha!?" Na kiwemba "Yabva!!?".
It was Jeffrey Lord who said "The tendency to whinning and complaining may be taken as the surest sign symptom of little souls and inferior intellects". I certainly agree with him. I guess each one of you know...
Ndugu mlalahoi your analysis ni swaafi. Ingekuwa ni assignment kwa ajili ya dissertation basi ningekupa A+. Nakubaliana na wewe mia kwa mia. Hiyo CCJ ni kama ulivyosema ni CCM B. Unajua nchini Tanzania wengi wetu tumekuwa sehemu ya kizazi na kwa njia hiyo we are bonded to the system of TANU/CCM...
Mimi ni mgeni ndani ya JF. Pamoja na ugeni wangu nataka kufahamishwa kwa nini JF Adminnistrator asiweke safu ya marafiki wa zamani kutafutana? Anyway pamoja na kuwasalimia natumia nafasi hii kumtafuta rafiki yangu aitwae Hassani Mwakawago. Tumepotezana takribani miaka sita sasa. Kama kuna mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.