KWANI Mama yako hawezi KUWA na hiyo Hali Kwa baba yako?. Unajuaje undani wao. Inawezekana baba na mama wana ugomvi kumbe baba alimfumania mama Mahali. (Watakueleza Hilo?).LAKINI mkiwa na mama Kila siku anamponda baba, na nyie WATOTO mnakariri baba mbaya! Au mda mwingine mama anamdhulumu baba...
Historia (vitabu VYA mapokeo) hailezi hivyo! Uwongo ukihubiriwa muda mrefu unakuwa ukweli FUTA hiyo dhana (Concept) Au uje na chanzo (Source) Cha hadithi yako hiyo!
Mpare Og!
Hizo zote ni hadithi TU.... Binadamu Hana uhakika na maisha baada ya kifo!!.... Mwisho WA MAARIFA ya kisayani ni mwanzo WA Imani mbali mbali mf. Upagani, ukristo, uislamu n. k
Mambo ya Imani HAYO... Inaweza ikawa kweli au SI kweli. Binadamu mambo Yao yote yasiyo na majibu wanayapeleka kwenye Imani. Iweje Ng'ombe ambaye ana damu (yenye cell kama yako) akifa asiende Mahalia ila wewe uende?!!!!!
Mimi pia Sina tabia ya kujichanganya na ikitokea nakaa muda mfupi Sana na kuondoka. Huwa naamini kuwa binadamu akifanya urafiki na wewe KUNA kitu anakitafuta kwako. Akipata anachokitafuta hukimbia! Hujawahi kuona mtu mwenye fedha anakuwa na MARAFIKI wengi na Kisha akifilisika anabaki peke yake?
We jamaa akili zako haziko sawa.Regulator WA uwezo WA Walimu ni NECTA NA NACTE .Vyombo viwili hivyo havikuweza? Au mwajiri haviamini?Huko KUNA rushwa? Acha kuchanganya Siasa na mambo yanayohitaji utaalam.Interview zinazofanyika Kwa Walimu WA private schools ni mbinu ya mchujo kukwepa...
Kasome habari za space! Na formation of stars.Utaona Dunia (sayari) ilitokea baada ya nyota kufa na ilikaa kipindi kirefu bila viumbe then ilipita ktk kipindi kirefu Cha evolution ndio viumbe wakatokea.Viumbe ukiangalia sana wanatokana na gases .ndio MAANA nikasema Sisi ni CARBON FORMED...
Binadamu anapoteza muda mwingi sana kujichunguza kuwa yeye ni nani.Sayansi inasema Sisi ni CARBON FORMED CREATURES! ,DINI INASEMA TUNATOKANA NA ADAM NA EVE
HISTORIA Inasema binadamu WA kwanza anatokana na jamii ya nyani.Ni kosa kuamini mambo mawili au matatu Kwa wakati mmoja Mimi NAIAMINI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.