Mwacheni aendelee kuingiza tu ovyo ye anadhani wale wamarekani wapuuzi tu!! Soon mtasikia wamempa ka Kesi kaku tia tia mimba ovyo!! Na hapo itakuwa mwanzo wa kurudi na bag Kama alivyo kwenda.
Blood fool...
Hapa ndipo Zile kauli za mh.Mnyika za...
.......sababu ya Udhaifu wa .,,,..
.......sababu ya uzembe wa....... Nk KWANGU NIMEANZA KUONA ZINA UKWELI.
Mh.Mkuu njoo huku uchukue kadi ya Chama chako siitaki tena japo uchaguzi wa Jimbo la Moshi mjini ilinipa Baiskeli.
Nyie nyie ndio amchelewi kuleta mada hapa....
Unatembea nali IPad mkononi unamuonyesha nani barabarani?
Unatembea na Smart phone mbili mkononi unamuonyesha nani???
Swali Nikuulize tu mkuu....
Ukinikuta kkoo nimekumbatia Laptop barabarani Hutonishangaa wewe au ndio yalele?
By the way: mfano...
ACHA KEJELI MKUU!! Una maneno ya Dharau utadhani umezaliwa na Hela wakati mwenzangu na Mimi ! Kwaiyo wewe huwezi tetea jamii yako kiujumla unajiangalia wewe tu na mfuko wako?
Next time usitoe hoja kipumbavu hivi..
INFACT: It's like Ume Post ukiwa busy chooni huku akili na macho yako yamelenga...
natoka hapa
1: Ndugu Mapenzi Hayana ufundi Tembea Utaona MIDUME kibao tu nayenyewe inalalamika IMECHEZEWA na Watoto wa kike
Hata humu JF haiwezi kosekana
2: Matumizi yako ya L na R yako ki UDSM zaidi
Usicheke mkuu nipo serious!! Maana kwanza hata sielewi huyu VODACOM ni Mtu binafsi au Company !!
Naona Kama wamesha vimbiwa wateja! Nakama ndivyo basi watuambie. Mie juzi tu nimepoteza simu nimeenda ku Re-new line wakaniambia after 3 hours itakuwa on Air cha ajabu mpaka mchana huu naambiwa eti...
Swali langu kwako VODACOM..!!
MNAFUNGAJE LINE YA MTU IKIWA INA HELA M-PESA??
HAMJIULIZA TU ...TOKA LINI MTU ATUPE LINE INA HELA NDANI ZAIDI YA KUTOKUWEPO HEWANI KWA MUDA??
HAPO TU NDIPO MNAPO TUCHOSHA! KI MSINGI KUWA NA HELA KWENYE SIMU ILIFAA IWE DHAMANA TOSHA YA KUTOIFUNGA LINE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.