Search results

  1. L

    Rais Samia amteua Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Jaffar Haniu kupangiwa kazi nyingine

    Hongera awake bi Zuhra YUNUS Kwa kuaminiwa na Mhe. Rais. Sasa achape kazi Kwa weledi.
  2. L

    Kuelekea maadhimisho ya wiki ya Elimu ya Sheria nchini 2022, bado kuna kigugumizi kwenye matumizi ya lugha ya Kiswahili

    Ahsante Mhe. WAZIRI Mkuu Kwa kuhimiza matumizi ya Lugha yetu ya Kiswahili kwenye HUDUMA ZA kijamii haswa ZA utoaji Haki kama vile mahakamani Polisi n.k, hayo ni maeneo muhimu sana. Watanzania wanatafuta haki zao kila kukicha wapo mahakamani hivyo ni Muhimu sana Mahakama zetu kuanzia wilayani...
  3. L

    Waziri Mchengerwa anena kuhusu watumishi wazuri

    Bahati nzuri WAZIRI aliwahi kuwa mtumishi wa umma hivyo anaIjua figisu zote zinazo chezwa ndani, nadhani alikuwa Mahakama. WAZIRI akishirikiana vyema Na Prof. Elisante hakika wanaweza wakafanikiwa kurekebisha uozo na unyanyasaji ulio jilita ndani Kwa ndani.
  4. L

    Waziri Mchengerwa anena kuhusu watumishi wazuri

    Ni jambo la kushukuru angalau Kwa mara ya kwanza WAZIRI Mwenye dhamana amebaini hilo tatizo la kupigwa nyundo watumishi wasio na godfather. Angalau matumaini Kwa wanyonge yanaonekana. Pongezi nyingi Kwa MHE WAZIRI Mungu azidi kumpa maarifa Na akili nyingi ZA kupambana Na waovu bila woga
  5. L

    Waziri Mchengerwa anena kuhusu watumishi wazuri

    Duh! Yaani mtumishi ana nyimwa haki yake ya kujihamisha Kwa ajili ya ugonjwa na akiwa na nyaraka zote ZA kitabibu! Hadi ana kufa! Aisee hao sio binaadamu ni zaidi ya wanyama, na wanapaswa walaaniwe na ikiwezekena washitakiwe. Mambo kama haya yasifumbiwe macho, huu ni unyanyasaji wa kiwango...
  6. L

    Waziri Mchengerwa anena kuhusu watumishi wazuri

    Ni ukweli usio fichika kuwa kuna tatizo kubwa la watumishi wazuri kiutendaji kuonewa na viongozi wao wa juu, uonevu ni mkubwa sana, watu wana umizwa sana, kuna viongozi miungu watu KAZI yao ni kuwa vunja moyo watendjibwazuri. Kuna uonevu na fitina kubwa kati ya viongozi wenye dhmana na...
  7. L

    TEUZI: Rais Samia amteua Jaji Mustapha Siyani kuwa Jaji Kiongozi, Sophia Mjema kuwa RC Shinyanga

    Mkuu acha kuendekeza udini, usiangalie nafasi za hao wateule 3 au 4 tu halafu ukahitimisha. Mimi ni mkiristu lkn naweza kukwambia kuwa ukiangalia kiuhalisia ktk mhimili wa Mahakama wakristu ndio wengi zaidi, angalia idadi ya Majaji, Wasajili, Watendaji, Mahakimu n.k, viongozi na ambao sio...
  8. L

    TEUZI: Rais Samia amteua Jaji Mustapha Siyani kuwa Jaji Kiongozi, Sophia Mjema kuwa RC Shinyanga

    Mkuu zandrano umekuwa mzalendo wa kukipigania kiswahili kuliko hata wenye dhamana kama vile BAKITA au TUKI. Nakuunga mkono, Matumizi ya Lugha ya kiswahili ni Muhimu sana ktk kutoa haki za watanzania. Sheria ilipitishwa Na Bunge kuwa Ruksa sasa Kwa Majaji wetu Na mahakimu wetu kuandika Na kutoa...
  9. L

    Uzinduzi wa Mahakama Jumuishi Dodoma

    kwa kuwa Mahakama zote za Mwanzo nchini zinatumia Lugha ya Kiswahili, sasa sioni sababu Kwa nini Mahakama za Wilaya, Mikoa, Mahakama Kuu na Rufaa zisitumie Lugha ya Kiswahili wakati ni watanzania walewale walio anzia Mahakama ZA mwanzo ndio hao hao wanao endelea kutafuta Haki zao ktk Mahakama...
  10. L

    Uzinduzi wa Mahakama Jumuishi Dodoma

    Kwanza Pongezi Kwa Mtendaji Mkuu wa Mahakaman pamoja na Jaji Mkuu Kwa kujenga majengo mazuri ya kutoa haki lkn bado Kilio CHA watanzania wengi ni pamoja na matumizi ya Lugha yao ya kiswahili. Haki itolewe Kwa lugha ya Kiswahili na sio vinginevyo. Naamini pia Moja ya sababu ZA ucheleweshwaji wa...
  11. L

    TARURA wilaya ya Ubungo mmesinzia!

    Viongozi wetu wabunge, Madiwani pamoja na wenyeviti wa mitaa wanapaswa wawe imara na Makini sana. Kuna hatari au kuna uwezekano kabisa kuwa ujenzi wa barabara hizi ZA mitaani zikajengwa maeneo ambayo kuna viongozi wenye ushawishi na maeneo yasiyo na mtu au watu muhimu basi yakaachwa solemba...
  12. L

    Hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan amkumbuka Ridhiwani Kikwete baada ya kusahaulika kwa kipindi kirefu

    Sasa vitunzeni hivyo vifaa, sio baada ya siku kadhaa tunasikia kifaa kimeharibika!!
  13. L

    TARURA wilaya ya Ubungo mmesinzia!

    Wananchi wa wilaya ya ubungo kata ya kiluvya gogoni/polisi/hondogo wanataka kuona barabara zinatengenezwa sio maneno. Kuna mchepuko wa barabara ya TANROAD unatokea Kiluvya Gogoni/POLISI unapitia Kwa Kawawa unatokea Kiluvya Kwa Komba, huo ni mchepuko muhimu sana na upo chini ya TANROAD...
  14. L

    TARURA wilaya ya Ubungo mmesinzia!

    Kulikoni TARURA WILAYA mpya ya ubungo mbona mmesinzia?! Tangu billion 14 zilipo tolewa kwa wakandarasi Kwa ajili ya kuanza kazi ya ujenzi wa barabara ZA mitaa, wananchi wanaona kimya kimetanda! Kulikoni! Maeneo ya pembezoni mwa mji kama vile maeneo ya Kiluvya POLISI GOGONI hadi HONDOGO...
  15. L

    Je, ni kweli Freeman Mbowe yupo Kazini?

    Usijidanganye wala usijipe moyo. Usiukatae ukweli. Mbowe ni mtuhumiwa wa ugaidi, Na huenda akikutwa Na hatia Na akafungwa jela au akaachiwa, yote hayo yanategemea ushahidi.
  16. L

    Masoud Kipanya alimaanisha nini kwenye mchoro huu?

    Kweli kipanya kalewa misifa! Sasa hichi anacho kifanya ni utoto
  17. L

    Freeman Mbowe: Misimamo ya Serikali kuhusu Corona inaathiri wengi

    Ningemshauri Mbowe kwanza ang'atuke uenyekiti wa chama, maaana chama kimemuifia mikononi mwake...,,sijui nani tena atamsikiliza ktk kipindi hiki. Hivi Mwenyekiti unapoteza Ubunge ktk jimbo lako bado tu husomi picha kuwa hutakiwi?!! Wanachama walisha mpuuza kitambo, kina Mdee, Matiko, Bulaya nk...
Back
Top Bottom