tatizo linaanzia pale ambapo Mwenyekiti wa chama ndo Rais wa nchi. ni nani anaweza mkorokea mwenyekiti wakati ndiye Rais. ilitakiwa hivyo viti viwili wavitenganishe.
Mara Makongoro, wengine wanasema Judge Augustiono. kila mtu naona anatoa mawazo yake.
Tusubiri mpaka mwisho tujue ni nani. Hivi ni kwanini sisi watanzania tunaamini kuwa Rais lazima atoke CCM?
inategemea hilo swali unamuuliza nani maana utapata majibu tofauti kulingana na mtu mwenyewe unayemuuliza. kimfano ukimuuliza Wassira au Ole Sendeka watakuambia siyo nchi wakati Mchungaji Mtikila atakujibu kuwa ni nchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.