Ni bahati mbaya kwamba, kila siku kuna taarifa za ufisadi mpya lakini hatuoni hatua.Inaumiza kila siku kupata data za mabilioni ya fedha za umma kutafunwa but things are the same always.Ni nani hasa atatangaza mwisho wa upuuzi huu?Watu wako comfortabe kabisa,Waliosanini mikataba hiyo ya ubakaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.