Habari wanajamvi, Leo nimekaa nikawa natafakari kwa watu wanaopenda kuweka password katika simu zao, Je! Faida yake ni nini na hasara yake nini, Je! Kuna ulazima wa kufanya hivyo?...mimi naanza na hasara, kwa mfano: umedondoka ghafla au umepata ajali hujitambui, wasamaria wanajitolea kukusaidia...
Nashangazwa sana na hii kitu, mastaa wa kike wanapofanyiwa interview kwenye TV lazima kuna kasehemu wadondoshe chozi, hivi ni hisia au ndo kujifanyisha!
Habarini za asubuhi wana jf:
Imenitokea kwa watu wanne tofauti, mtu ni rafiki yako kwasababu ya majukumu inapita hata miezi miwili hamjasalimia hata kwa sms, siku nikisema nimtafute tu ni kosa, kesho yake anakuambia niazime hela na matatizo kibao sasa najiuliza alikuwa anasubiri mimi nianze...
Habarini wakaka na wataalamu wengine, nimekuwa nikijiuliza sana hivi ni kweli kunavyokaribia kukucha ni lazima jogoo asimame?
•Je katika hali hiyo huwa mnajisikia kukutana na mwanamke?kama sio mnajisikiaje?
•Ni lazima itokee kila siku?
Nimekuwa mtumiaji wa bidhaa mbalimbali,kwamfano: vinywaji,vyakula n.k. Lakini nimegundua kuwa kinywaji aina ya PEÑASOL(wine) stika ya TRA inabandikwa juu ya expire date,na unapobandua kwa dhumuni la kusoma muda wa matumizi ile stika inabanduka na yale maandishi. Leo nimenunua kwabahati nzuri...
Nimekuwa mtumiaji wa bidhaa mbalimbali,kwamfano: vinywaji,vyakula n.k.
Lakini nimegundua kuwa kinywaji aina ya PEÑASOL(wine) stika ya TRA inabandikwa juu ya expire date,na unapobandua kwa dhumuni la kusoma muda wa matumizi ile stika inabanduka na yale maandishi.
Leo nimenunua kwabahati nzuri...
Nimekuwa mtumiaji wa bidhaa mbalimbali,kwamfano: vinywaji,vyakula n.k. Lakini nimegundua kuwa kinywaji aina ya PEÑASOL(wine) stika ya TRA inabandikwa juu ya expire date,na unapobandua kwa dhumuni la kusoma muda wa matumizi ile stika inabanduka na yale maandishi. Leo nimenunua kwabahati nzuri...
Leo asubuhi nimetoa pesa kwenye ATM ya CRDB, nikachukua risiti ya salio langu nikaondoka. Mimi huwa nina desturi ya kuandika gharama ya matumizi yangu kila ninapotoa pesa, nilipofika nyumbani nikawa nafanya hesabu ya matumizi yangu yaani pesa niliyotoa, matumizi niliyofanya, na pesa niliyobakiwa...
Habari wana jf, nimekuwa na tatizo linalonisumbua takribani miaka minne sasa, kucha zangu za vidole vya miguu zinaota kwa kuchimba nyama kitu ambacho wakati mwinginw hunisababishia maumivu makali sana hata kuvaa viatu siwezi,na nikijaribu kukata huwa kinabakia kama kidonda nilichokatwa na wembe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.