naungana nawewe kua hapa kuna kitu kimejificha,ila mwisho wa siku ukweli utajulikaka na wapo watakao inamisha nyuso zao chini kwa aibu kubwa watakayoipata,hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
magehema umenena ukweli mtupu,kama wanazi wa simba waliona wanakosa haki yao wangefata taratibu kupitia tff wakajua watapataje haki yao,sio kuleta mambo ya kihuni nakuanza fujo nakutaka kuvunja vifaa vya kazi wanajua thamani yake,ni mapesa mengi mno kuvinunua,mm binafsi nawaunga mkono waandishi...
mimi nilishasema mapema ccm hawaaminiki hata kidogo,juhudi zote hizi za kuleta maridhiano zinazoletwa na wanaoitakia mema nchi yetu wao ccm wanafanya kama mchezo wa maigizo,hawaaminiki hata dakika 1 hawa,hakuna chochote cha maana wanapoteza muda ili cuf walegeze kamba ukifika uchaguzi wanafanya...
tunaongoza ligi tumemchapa bolton 4-2 mambo saaaaaaafi
,na kwa moto huu ninaouona sasa inshaalah ubingwa ni wetu vijana wetu wanatisha mno hivi sasa,ila tuna big mech 3 zinafatana kwanza 31/jan na man u,badae liverpool inafata ya chelsea tukishinda hizo game 3 sisi mabingwa inakua hakuna wa...
nyie wote mnaowalaumu polisi kwa kuua majambazi mimi nashindwa kuwaelewa kabisa,au nyie mnaona raha mijambazi inavyoua watu kikatili bila hata huruma ukerewe yamefanyika mauaji ya kutisha na kila siku raia wema wasio na hatia wanauawa na mijambazi nyie mnaona raha,nahisi hamjawahi kukutana na...
umenena kweli tupu,zenj inawenyewe na wenyewe mtawaona kuanzia kesho 20/1/2010 ktk baraza la wawakilishi wataamua mambo yao wenyewe,tusiwaingilie,makamba domo kaya kila mtu anajua,
hongera sana ustaz umenena yale yaliyo moyoni kwangu ndoto yako ndio ndoto yangu, hawa cuf wanachezewa makidaMAKIDA NA CCM HATA SIKU MOJA HAWATAKUBALI KUFANYA UCHAGUZI HURU NA WA HAKI HUKO ZENJ WANAJUA WAKIKUBALI MAMBO YAFANYWE KIDEMOKRASI YA KWWELI WATASHINDWA VIBAYA SANA WATAPOTEZA MADARAKA...
pia ben kiko,taitas filipo,mikidadi mahamud,sango kipozi,chisunga steven,hawa walikuwa maripota wa uhakika na sauti zao zilikua zinawavuta mno wasikilizaji hasa ben kiko,kutoka taborrra huyyu ni beeeeen kikkko wa rrrrrrrrrrreeeeedio tanzania.hata kisumu kenya kulikuwa na club ya wasikilizaji...
mwanzo umetoa mifano mizuri lakini hapa mwisho umekosea kuwa na lafidhi ya kisukuma sio kosa huo ni ufahari na utambulisho wake yeye ni nani,wacha ubaguzi na ukabila,ila kama ni kweli ngeleja kafanya yote hayo ikiwa ni pamoja na kuzuia ndege ya atc imsubiri anakosea,ajirekebishe ajue cheo ni...
hizo tabia za kulawitiana ni chafusana na zimelaaniwa ktk dini zote na yeyote anaefanya vitendo hivyo amelaaniwa na yeyote anaeshiriki kwa namna yoyote katika uovu huo amelaaniwa.
yote nimeyasikia ni vituko tu vya kisiasa,ila mimi nauliza mzee wakiraracha mrema anaumwa ugonjwa gani,majuzi nilimuona kwenye tv uso wote umekua mweupe je ana ugonjwa wa mbalanga au ana fngas,maskini mrema amekwisha kisiasa na kiafya pia polesana ila kumbuka nini uliwakosea watu enzi zako za...
kanda mbili2 umenikosha,jide huna uwezo wakunua ndege hata hao majizi wa madini yeyu hawana uwezo wakumiliki ndege ila baada ya kutuibia madini yetu ndio wamenunua ndege,au mnatutangazia kama mlipelekwa na kurudishwa kwa ndege,hamtakiwi kufurahi mnatakiwa mlie kwa nchi yenu inavyoibiwa,hiyo...
Ahsante sana kwa kumuweka Dr. Slaa aweze kujibu maswali yetu.
Swali la kwanza ni dogo tu:
Vp wao kama CHADEMA wana maoni gani au wana ushauri gani kuhusu mwelekeo wakisiasa wa sasa huko Zenj.
Je, amani na CCM yake wana nia ya kweli yakuleta maridhiano ya kisiasa na kuondoa chuki na mifarakano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.