Search results

  1. S

    Mtoto hataki kunyonya

    wakati mwingine hili kinatibika na tiba za kiasili huenda pia kuna michezo michafu ambayo mama aweza kawa kafanyiwa na kwa kuwa watoto ni km nalaika hawana zambi na wanaulizi wao hukingwa wasidhurike na ubaya ulio kwa mamake. nimewashuhudia wengine wengi wenye tatizo hilo likisababushwa na mama...
  2. S

    Tatizo la kuwa na harufu mbaya kinywani (bad breath) - Chanzo, dawa za kuzuia na ushauri

    Harufu ya kinywa ilio kali kabisa hutoka tumboni na hutibiwa kwa kutibu mfumo wa tumboni wa chakula na ule wa mdomoni uletwao na meno hujulikana tu ambao hutokana na kutosafisha vzr kinywa.
  3. S

    NECTA kuwasaka wenye vyeti bandia

    ni kweli kabisa hakuna sehem yenye vyeti bandia kama hizo apo ila utasikia matokeo makubwa wamekuta kwa walim.
  4. S

    Ukweli kuhusu kutoa haja kubwa na ndogo wakati wa kujifungua

    watu wengi husema hali hiyo ya ku poop husababishwa na kula viporo mama mjanzito hasa miezi ya mwishoni.
  5. S

    Kwanini baadhi wadada/wanawake mna vitambi?

    ni vyakula vya sasa na machips ndio maana hata magonjwa yamekua mengi kuliko zamani.
  6. S

    Fupi tamu jamani lakini ndefu hakika inakera

    mbona ipo wazi kabisa fupi ni lazima itafika juu juu itashindwa fikia mahali,na ikiwa ndefu sana itaumiza yaweza fikia kizazi.inatakiwa iwe saizi ifiti inategemea na umbile la mwanamke.na ndi maana watu wakioana kama hawakuzoeana na ikiwa mmoja alizoea umbile fulani basi wataanza kutoka nje ya...
  7. S

    Hodi wenyeji.

    nimevutiwa sana mada zenu, maoni yenu,michango yenu,n.k sasa namimi nimo nanyi, tupo pamoja.
  8. S

    Natafuta kazi ya nursing

    Anatafuta kazi ya nursing msichana ana umri wa miaka 20 elimu yake kidato cha nne,ana certificate ya nurse attendant,anauzoefu wa miaka 3,ni mchapakazi hodari. msaudueni mdogo wangu jamani amechoka kujitolea kwa muda mrefu sasa anahitaji kuajiriwa.
  9. S

    Hoja ya mawaziri kutokuwa wabunge Rais ulijichanganya

    hata mimi naunga mkono kwa kweli waziri asiwe kabisa mbunge kuba haja gani ya kumlimbikizia mtu mmoja madaraka na salary kibao wakati watu wengi hawana ajira? mbali na nyazfa kibao bado wanafanya ufisadi.hayo sio maisha bora kua kila mTZ
Back
Top Bottom