umeandika maandishi mazuri mkuu,lakini hujaangalia je mh waziri na wasaidizi wake wanafanya kazi masaa mangapi?wanapumzika masaa mangapi?wanatembea kilomita ngapi barabarani?mie kwa kuangalia tu naona ajali imetokana na uzembe wa dereva unaotokana na uchovu na kutokuzingatia sheria za kujali...
Kwanza nakuomba kistaarabu uwaombe msamaha watanzania walioko nje ya nchi.
Mada yako ni nyepesi Sana Na imejaa viashiria vya kugawa watanzania Na kupandikiza mbegu za chuki.Au kumwagilia mmea wa chuki ambao wewe Na wengi mmejenga dhidi ya diaspora.
Uraia wa mwananchi hauwezi kufutwa kiurahisi...
Bilioni 6 hizo ni investment nzuri tuliyowahi kufanya tangu uhuru.JPM amelenga kukuza sekta ya utalii,sekta ambayo hatujaigusa kabisa,kwa kukata mtu wa kati watalii watakuja kwa wingi,kutakuwa na unafuu wa gharama za matembezi hayo,halafu multiplier effect kwenye ajira na kuongeza ujuzi.
kwa hilo uko sawa hapo juu,kwa wanaomtetea Luhwavi,bahati mbaya kwa upande wangu nimeiangalia kwa jicho la tatu,luhwavi kwa kuwa ni mtendaji tu,au tuseme mwajiriwa hana uwezo wa kuinfluence wajumbe wa mkutano mkuu,kwa upande mwingine ni strategy tu
safi sana hakuna la kuongeza ile thread ya Lizaboni ilikuwa imekaa kimajungumajungu tunashukuru sana kwa maelezo ya kina kuhusu taratibu za chama cha mapinduzi kiutendaji vs majungu na propaganda za kukigawa na kupelekea kudhoofika kwa kasi ya hapa kazi tu
Uchambuzi yakinifu huu,hakukuwa na sababu za msingi kutumia mabilioni kwenye NEC ilhali NIDA walikuwa wanasuasua kifedha.on value for money yes ni viable .politics ukichanganya na utalaam ni lethal
Mama huyo kaenda shule vizuri,amefanya kazi vizuri kabla hajaingia siasa,vilevile tupunguze dharau na kejeli kwa wasukuma,ni wasukuma wachache wanaopenda kubebwabebwa wengi ni wachapa kazi.nimeandika hivi baada ya kuona mtiririko unaelekea shule ya waziri na kabila lake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.