Mi sishangai kwani ni kada wa kutupwa na kwa kufanya hivyo analipa fadhila za kupelekwa Marekani kwenye matibabu. Ni aibu kuwa na mfumo wa kiubabaishaji watu wanakutana nyuma ya mlango na kupanga matokeo...Tazama mgombea binafsi/huru. Bila katiba huru itakayoainisha mchakato wa uteuzi wa wakuu...
Unajua mbinu inayotumika ni kuwanunua watangazi na wahariri ndio maana utaona kipindi kama cha Jahazi ambapo Kibonde yupo kazi yake ni kuipigia debe CCM na kujifanya anajua kila kitu na anachokisema yeye ndio hali halisi. Tazama siku katimu mkuu wa TUCTA alivyoshindwa kufika kutoA
a ufafanuzi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.