Wadau wa JF, juzi nimepigiwa cmu na Watu wa TANROADS-Tanga, wakinihitaji nihudhurie kwenye interview itakayofanyika tar 7 na 8/05/14. Kwa maelezo yao wanadai nisome gazet la mwananchi la April 28 kuna details zote pmj na list ya walioitwa.
Sasa wana JF naomba mwenye uwezo wa kuzpta hzo...
Wadau naombeni mnisaidie mahali ilipo TPDC Housing estate na jinsi ya kufika huko. Nikimaanisha nipande magari gan maana mm ni mgen hapa jijin na kwa sasa niko Mbagala rangi 3 ndo nilikofikia kutoka mkoan. Hvy naomba anaefahamu vzr anielekeze kutoka MB/Rangi 3 mpk huko.
:nimekataaWadau kuna nafasi za WEIGHBRIDGE OPERATORS zilitangazwa na hao jamaa nika-apply tangu Nov 2013 bt mpaka sasa cjapata updates zozote kutoka kwao. Wana JF naombeni kama kuna mwenye taarifa au kuitwa interview na hao jamaa anijuze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.