Pole sana kwa changamoto mkuu. Changamoto kwenye maisha ni lazima ila kuzikabili ndio cha muhimu. Mambo machache yanayoweza kukusaidia:
1 Imani- chagua unachotaka kuamini. Chagua mahubiri ya imani yako yaliyo chanya na yenye kukumbusha nguvu ya Muumba, na nguvu ya uchanya iliyo ndani yako.
2...
Wewe unakopa kwa kukosa mpangilio. Biriani Masaki ni Tzs 8,000 mpaka 15,000/-. Sinza ni 4,000! Hii ya 30,000/- umesikia wapi?
Pamoja na maisha kuwa magumu, kukopa sana inamaanisha unaishi maisha yasiyo yako. Adjust maisha ujitoe kwenye madeni. Kuna njia kadhaa za kusevu, pamoja na kubeba lunch...
Mkataba wowote unapaswa kuwa na kipengele cha kuonesha unaisha lini, na utavunjwaje (ila ya bandari ndio ya milele).
Ungempa hiyo hela kwa kuandikishana na akubali kwamba hatakudai chochote cha ziada. Mkataba ufuatao hakikisha una hivyo vipengele.
Yaani Nyani Ngabu unajihoji sisi kwenda kushangaa ndege na wake zetu (mume wa mama naona haya maigizo hayawezi maskini wa Mungu). Mwisho wa akili zangu ilikuwa ile kuandamana kwenda kushuhudia kuanza kujaza maji bwawa la mwalimu nyerere!
Wanasema tembea ujionee!
Sasa mamie umechepuka ili udange na kujengea wanao? Ama umechepuka kwa sababu unatafuta furaha uliyoipoteza kwa sababu ya kuletewa mtoto wa nje?
Kuwa na mahusiano na mtu kwa ajili ya kupata kitu ni kudanga. Hakuna lugha laini ya kuelezea hii. Shughulikia hayo maumivu kabla hayajakupa madhara...
Kuna mahali huyu mkewe anaubwaga moyo wake kiroho safi! Anaongeleshwa na kububujikia stress zake na kupeana faraja na mfariji wake. Akirudi nyumbani anakua incubator iliyopewa mtaji kaachwa hapo!
Ni sawa na mwanaume anaesema mke wangu haniulizi nimetoka wapi wala narudi saa ngapi! Mwanamke bila...
Na kapicha ka six packs za shemela ukatupia!
Hongera mwaya. Love is a beautiful thing, all the best. Fukia makaburi ya wagweno na usiyakumbuke tena, chapa lapa, pendwa upendeke. Halafu wanaume wanaovaa mashati ya vitenge huwa wanajua kupenda kweli kweli!
Nikiangalia hizo picha za watu wanaoteseka na njaa, nakua siwaelewi wale wakenya wenye kukaa njaa ili wamuone Mungu! Ukikosa maarifa lazima uangamie[emoji36]
“Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, Atavunjika ghafula, wala hapati dawa. Apendaye hekima humfurahisha babaye; Bali ashikamanaye na makahaba hutapanya mali.”
Mit 29:1, 3 SUV
Amevuna alichopanda, kwa wakati. Baba aendelee kumuomba Mungu wake amjalie maisha marefu, imeisha hiyo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.