Sure,unapofeli ktk mambo yako utachekwa na kusemwa vibaya kinyama utadhani hata msaada walikupatia na kama walikupa msaada ukajisahau kuto fadhira basi utasimangwa mpaka ukajuta kwanini walikusaidia.
M
May be mpo wachache ndo maana mnathaminiana sana ktk nyakati hizi,kwangu mimi yote aliyoorodhesha mtoa mada yanaakisi maisha yangu na ndugu zangu.
Sikatai kwamba ktk kunikuza ndugu wamenisaidia ile uko home sembe inapikwa na unakaa chini unakipiga cha ugali ila baada tu ya umri fulan unachiwa...
Daaaah wazo zuri sana tena una uzoefu na hayo unayotarajia kuyafanya basi naamin mungu atakusaidia kwa yote sababu una nia na uthubutu.
Mungu akutangulie.
Kweli kabisa,
Nami nakumbuka nilipofika form two ilikuwa mwaka 2006 nilikuwa na shemeji zangu wakifanya kazi manispaa ya Temeke wao ni standard seven,walipewa nafasi ya kujiendeleza walitafutiwa hadi madarasa pamoja na walimu kuwafundisha QT maana mmoja wapo alikuwa anakuja na maswali ya form...
Tunaheshim sana ujuzi wenu ila mkasome kwanza mpishe wengine wenye vyeti nao wapate ujuzi zaidi then tutawapokea kwa aina nyingine sio hii ya standard seven.
Nina eneo la ukubwa wa hekari 2 linafaa kwa makazi na si kilimo,lipo maeneo ya Kisemvule-Mpera wilaya ya Mkuranga,lipo barabarani kabisa usafiri wako binafsi unafika.
Bei 12 Milioni.
0712 318 315
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.