ZZK anafanya kosa moja kubwa sana.Kwamba ni yeye pekee mwenye uwezo wa kujenga hoja ama kuibua uchafu serikalini.Kwake yeye utendaji kazi wa pamoja haupo.Hutangulia mbele kusema ni yeye ndio alifanikisha.Hakika ni ubinafsi wa kutisha.Bado anaweza kubadilika akitaka.
Dr slaa
Karibu Jamiiforums and we call it the home of great thinkers
Napenda niweke maswali kadhaa hapa ili ukipata muda wa kuyasoma basi niweze kupata majibu muafaka,
1 ) Najua CHADEMA kinakua kwa kasi na viongozi wanajitahidi kueneza chama vizuri.Sasa naona mmejikita sana kama chama...
Moshi Mjini
Ngawaiya ana haki kama mtu yeyote yule kuweka nia yake hadharani ya kugombea jimbo hili la moshi mjini.Karibu moshi mjini tutakusikiliza cha msingi ni lazima aelewe atapambana na mpinzani hodari na aliyejidhatiti sawa sawa. Ndesamburo kashafanya mengi na ngawaiya alishakuwa mbunge...
Wana JF
Wakati tunaenda kuchagua wabunge ni vizuri tukijadili nani anatufaa na tunahitaji nini kutoka kwa hawa tunaowaajiri.
Kwa mtazamo wangu mimi nafikiri Mbunge ni kama meneja wa mahali husika na hivyo anahusika moja kwa moja na kuibua mikakati ya maendeleo mahali husika.Haimlazimu mbunge...
Mnyika wasalaam
Kwanza nakupongeza kwa kujaribu kuibua mjadala huu kwani ndo wakati wenyewe.Tunapokua na mawaziri wengi automatically gharama za kuendesha wizara hizo ni kubwa na cha kusikitisha hapa kwetu haziendani na matunda ya wizara husika.Naunga mkono tuwe na wizara chache makini na...
Chadema lazima muwe imara.
The only thing to archieve that is to fight as a team,kuondoa majungu na makundi. Sera za chama ni madhubuti kuanzia sera ya elimu na nyingine. Umaarufu umeupata na safari ni ndefu kisiasa na majukumu mbele yako ni thabiti. Unahitaji kuwa mvumilivu na kutokukurupuka...
Zitto cha msingi ni kuangalia misingi ya chadema ni nini na utume wa chama kwa kizazi hiki.Migogoro ndani ya chama makini ni upotevu.nimesoma post zako nyingi na ukieleza mengi hadi kipato chako kinachohalalisha wewe kumiliki magari mazuri zaidi ya matano sasa sio sifa kulipwa laki tatu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.