Unajua wa'DADA na wa'MAMA wa siku hizi wanapenda vitu viiingi kwa wanaume ambavyo in reality kwenye LOVE huwa haviliwi! Kwa mfn: Uhandsome, Utanashati, Usuperstar, Umaarufu na Utajiri ni vitu vinyochukua sana fikra zao. Lakin kiukweli kama muonekano wa nje ungekuwa bora sana, basi FENES na NANAS...
Mi nadhan tatizo lipo kwenye MODERNIZATION. Mchicha unachukua siku chache, nyanya nazo mbio mbio toka kupandwa mpaka kuliwa! Kuku na mayai ya kisasa navyo vinachangia sana KUSHURUTISHA mfumo wa UKUAJI. SIMULIZI kali za mapenzi, TELEVISION, MIKANDA ya MAIGIZO ya kimahaba navyo huwakuza mabinti...
Tatizo watu wana'copy motion' za UGHAIBUNI ambako hivi vitu vina maana sana. Tena huenda hata bei ziko vizuri! Inasikitisha mtu amelazwa dalaja la III, we unampelekea kadi, maua na kajitunda (APPLE) wakati chakula tu ni shida wodi hizo. Huo ni UKASUKU, kwani uzito wa kadi si uko kwenye MAANDISHI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.