Ifike kipindi baadhi ya wanaume waache kuamini kuwa kumuoa mwanamke ni kama tendo la kumhurumia au kumsaidia. Mnakosea. Ndoa ni makubaliano kati ya mme na mke kuingia kwenye hatua ya juu ya mahusiano . Ukiona mtu amefikia umri mkubwa na bado hajaoa au kuolewa basi makubaliano hayo hayajafikia...
Lini hiyo?
Mnaota ndoto za alinacha kweli.
Haita kaa itokee mpaka uzao wako wote unaingia kaburini.
Huko mnakoenda baada ya kuua ndio mkaeneze hizo imani zenu za bikra 72.
Ameshalipa wa nbc tayari, kupitia hiyo dhamana yake iliyouzwa.
Angekuwa bado anadawaiwa na nbc hapo ingeleta shida.
Hata hivyo, pengine nmb hawajapata hizo taarifa za mkopo wa nbc wa huyo mteja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.