Kwakweli hili hatutalinyamazia,ni uonevu wa hali ya juu. Ajira kwa vijana ndio hizi,watu wanatafuta kwa nguvu zao halafu wengine wanakuja kuchukua kiulaini,kwakweli hii itafika mbali kama sio wenzetu warudishwe kwani wana sifa zote na mbaya zaidi tumehenya nao huku kwa miezi miwili..
Inasikitisha sana kuona vijana wanapata ajira serikalini halafu bila kutendewa haki mnawafukuza kwa makosa yenu wenyewe.Jeshi la magereza walitangaza nafasi za kazi ambapo walitakiwa wasomi na wengineo.Tulijitokeza kufanya interview na baada ya wiki mbili majibu ya tuliofanikiwa...
Inasikitisha sana kuona vijana wanapata ajira serikalini halafu bila kutendewa haki mnawafukuza kwa makosa yenu wenyewe.Jeshi la magereza walitangaza nafasi za kazi ambapo walitakiwa wasomi na wengineo.Tulijitokeza kufanya interview na baada ya wiki mbili majibu ya tuliofanikiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.