Habari za asubuhi wandugu!
Napenda kuizungumzia hii mada ingawa nahisi lazima ilishawahi kujadiliwa humu coz ni moja ya vitu ambavyo vinatokea mara nyingi katika mazingira tunayoishi.
Walonifanya niandike hii Thread ni hawa jamaa wa EATV, katika kipindi chao cha EA STAT cha jana ingawa walikua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.