Wanakudunga na visu au bisibisi! Hawa watu tunaongea tu ila hawafai... inawezekana alivyokamatwa huko ameunganishwa kwenye kesi nyingi hivyo chain inatafutwa. Wawe wavumilivu tu....
Punguza hasira da kiboga mdoli uliwekwa na baba yenu JIWE umesahau mara hii?
Nasikia mlikua hadi mkimtemea mate kwa dharau mkimuona mwanasesere kumbe nyie ndo mlikua wanasesere msiojua kesho yenu! Ikiwa mngetambua U VP ni nafasi serious sidhani kama mngekua na mdoli. Leo unasema tumemweka ebo...
Bakhresa ni zao lile lile la minyoo..... hujui yaliyopo nyuma ya pazia ya watu aina ya Bakhresa! Narudi kwako wewe ni mnyoo tuuu hujui na huwezi elewa msoto wa kutafuta! Shiba kisha vimbiwa usubiri kuliwa na mmeo. Mko watu wa hovyo sana.
Sahz nasikia mnapewa visheti,tende, bajia, kalimati na kuchotewa Michele na nyama kedekede huko misikitini nyie kazi yenu ni kula, kuvimbiwa na kujambiana baas sana sana na kwenda kupoteza muda kujichamba. Huwezi elewa lugha ya watafutaji. Kiufupi nyie ni minyoo sio rahisi kuhisi shida mlipo...
Kipindi Magufuli anaingia kumbuka alirithi uchumi wa JK ambao bado pesa ilikuwemo mifukoni mwa watu..... so kinachotokea sasa ni matokeo ya muda mrefu ya utekelezaji wa sera zake hasa baada ya kukusanya sana mapato ya taasisi yaliyokua nje ya BoT na kuya centralise then kwenda kulipa miradi...
Magufuli's Administration in Economy ilikua total failure kwa siku za usoni! Sera zake hazikua rafiki kwenye kuponya majeraha ndio maana nayeye ilifikia hatua serikali yake ilikopa hadi taasisi za biashara zenye riba kubwa sana na mikopo ya muda mfupi!! Imagine huu utawala unalipia mikopo...
Kikwete na wanamtandao wenzao walishikwa mfukoni uchumi ukahamia mifukoni mwa matapeli! Ilifia hatua serikali ilikopa hela kwa watu binafsi kulipa mishahara!
Magufuli ndo aliididimiza zaidi nchi kwa kutumia theories zilizoshindwa kwa wengine!
Swali ni jee, hizi data tunazopewa na TRA na BoT...
So hizo kodi wanazodai kukusanya maradufu wanakusanya kwa akina nani kama wafanyabiashara turnover zao zinashuka maradufu hivyo? Wanapika data? Mitaji inakwenda sana nje ama shida ni nini?
Hata malipo ya serikali kwa kipindi cha karibuni yanasua sua sana. Inawezekana kuna jambo tunafichwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.