Huyo jamaa awe na data kabla hajaropoka asifikirie yupo kwenye majukwaa ya muziki wa dansi!! Arusha lile bango la samia na Chadema baada tu ya Nduruma juzi wamelitoa!!
Kabudi huyu anayetoa macho huku ute ute mweupe ukimtoka mdomoni kwa kufokea watu? Kipindi cha jiwe ndo tulimjua ni kwa namna gani yule mzee ni empty set!
Kinana amepatwa na nini? Ama uzee? Huyu si kinana niliyemfahamu katika kujenga na kuchambua hoja!!
Ameongea vitu ki jumla jumla sana na amepigwa KO na Lissu vibaya mno...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.