ninavyofahamu mimi hapa jamvini kumekua na thread nyingi sana za kumwandama huyu mtangazaji wa Clouds, bwana kibonde, lakini kwa hili hebu tumuunge mkono kwani wote ni waathirika kwa namna moja au nyingine, kama si wewe basi lazima kuna ndugu yako................ huo ndio ukweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.