Mkuu wa mkoa MWANZA mh Evarest Ndikilo yuko mtaani maeneo ya posta road anaongea na wamachinga kiustarabu kabisa juu ya usafi nanamna ya kufanya biashara ktk maeneo yanayo kubalika kilichonivutia hana gari yuko peke yake na askari mmoja na yuko kirafiki zaidi anawaambia wamachinga hata wao...
jambo wana jf, kampeni za ubunge chalinze zinaendelea! hahadi lukuki zinatolewa Ridhiwani anatuahidi maji safi, zahanati kila kijiji ,utatuzi wa migogoro ya ardhi nk, ni ahadi lukuki na ahadi nyingi zilitolewa na baba yake ambazo mpaka leo pamoja nakuwa rais hazijatekelezwa na leo mtoto...
Mzee Wasira yuko ndani ITV ktk kipindi cha dk 45 kila anapoulizwa swali juu Tanganyika anaonekana hapendi hata kusikia jina hilo ktk masikio yake ,Wana CCM Tanganyika iliwakosea nini? nani mtetezi watanganyika ?mnaona hata kinyaa kuitaja, inackitisha!!!!
Jambo wakuu, jioni hii hapa Mwanza tumeshudia matangazo mitaani ya mwaliko wa mkutano wa chama cha ACT kesho ktk viwanja vya shule ya msingi mbugani miongoni mwa wageni wakitaifa ni pamoja na katibu mkuu taifa Samsoni Mwigamba kwa mujibu wa matangazo
Tangu juzi hapa jijini Mwanza kumezuka kundi la vijana wanaowasulubu wanawake wanaovaa nguo fupi. Muda mfupi uliopita hapa maeneo uhuru karibu na shule ya Taqafa dada mmoja kavuliwa nguo zote kabaki kama alivyo zaliwa.
Wasamaria walijaribu kumpa khanga nayo ikachanwa,waathirika wakubwa...
Kupitia mapitio ya magazeti asubuhi ya leo nikastushwa na habari ya gazeti mmoja kuwa katibu mkuu kiongozi amekataa kuutambua uteuzi mpya mkurugenzi wa wanyamapori.
Kama ni kweli basi uongozi nchi hii ni tatizo.
Nimekua nikishangazwa mara nyingi rais wetu anapokuwa akihutubia mikutano ,semina,warsha nk huwa anakuwa na walinzi wawili hii nikwanini?wakati tunaamini nchi yetu ni ya amani ,,
kupitia taarifa ya habari itv usiku huu ndio nimejua kundi analowakilisha mzee kingunge ni kundi la chama cha watoatiba asilia wanadai walimwandikia barua rais wapate nwakilishi wan
Muheshimiwa huyu akiongea na itv amependekeza wafungiwe pasiwepo na chombo chochote cha habari wakati wanajadili rasimu ya yakatiba,, swali langu ni hili wanatka kutuficha nini wakati wao ni wawakilishi wetu???
jambo wakuu,, nimekuwa ni kifuatilia mikutano ya chadema inayo endelea mara nyingi katika kuhamasisha na huwa wanaitana makamanda swali langu ni hili hawa ni makamanda wa jeshi gani????
Kumekua na msuto, lawama, kejeli nakila namna ya kuzungumza juu uteuzi uliofanyika, baadhi ya watu wameonyesha kutoridhika na mawaziri kama Mwigulu, nkamia nk, kama hofu imekuwa ya mapemahivyo je? tutarajie baraza jingine kabla ya 2015???
jambo wakuu,nimekua safarini kikazi sehemu mbalimbali ndani ya nchi naleo niko simiyu kunajengo zuuuri linajengwa karibu na stand mpya nilipo muuliza mwenyejiwangu ni lanani nikaambiwa ni la ridhiwani nikashangaa kila mkoa unapopita ukikuta jengo zuri, malori yamafuta, vituovya mafuta nk...
jambo wakuu,, binafsi silielewi gazeti kwamuda mrefu, nigazeti linalo endeshwa kwa kodi za walalahoi watu masikini, nilitegemea lingekua chachu katika kubadilisha maisha watanzania masikini kwa kuandika kwa uhalisia matatizo yao haswa vijijini, iliyawezekupatiwa ufumbuzi na serikali,mfano elimu...
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita amesema hatomwomba radhi mh. Msindai na ametaka aache kuvuruga chama kwa kutofuata utaratibu wa chama ktk kuamua mambo yake hatakama yeye ni wa siku nyingi ktk chama.
Source: ITV
Mwenyeki wa kamati ya kudumu ya maliasili ardhi na nyumba James Lembeli amelalamika kutishiwa maisha na viongozi ambao ni wezi wa mali ya umma naye kasema yuko tayari kufa hatonyamaza.
2013 umepita,,, lakini hakupita hivihivi umeacha makovu, maumivu na baadhi ya kina mama wakiwa wajane na watoto yatima ,wengine tuliambiwa wapigwa na vitu viyenyenchakali wengine walitekwa nakung'0lewa. jicho mara tukackia mabom arusha, yaani ilikuwa vurugu tupu kote huko mmeacha maswali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.