Hivi kuna watanzania wenzangu ambao wana weza kuandika maoni yao kwenye mitandao ya kijamii (wasomi) ambao hawaJui kwamba huu Muungano tulionao sio watanzania waloamua bali Marehemu Baba wa Taifa? Sasa kuna ubaya gani sisi wenyewe tukiamua kuhusu huu muungano? Lissu anawakilisha sauti ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.