Nakubaliana na uteuzi wa JK kwa huyu mama albino. Kumekuwa na mauaji ya kutisha ya maalbino kwa imani za kishirikina siku za karibuni, na nadhani JK anataka kuona maalbino wanawakilishwa bungeni.
Mkuu Jasusi,
Hii ya uuzaji wa madawa ya kulevya ndiyo nasikia leo ... makubwa haya! Website ya Bunge inaonyesha jamaa alikuwa Harvard 1975, lakini hawasememi lini alimaliza ... http://www.parliament.go.tz/bunge/Mp_Cv3.asp?PTerm=2005-2010&fpkey=30&vusername=GUEST%22)
Wakuu, kama Chenge asingekuwa waziri kuna uwezekano mkubwa hii "kashfa" isingetolewa hadharani. Muungwana alifanya vizuri kumuacha ndani ya serikali ili awe "visible" zaidi.
Mbangaizaji,
Kuna taarifa kwamba hawa prosecutors wameshapewa "hongo"; ni competent lakini kwa sababu ya tamaa ya pesa, wanaamua "kushindwa kesi" .... hapo hakuna kesi; tumeshapigwa bao jingine.
Kuna taarifa kwamba JK anafikiria kuwateua Mh. Zitto na Mh. Rashid Mohamed kuwa katika baraza jipya la mawaziri .... inasemekana ndiyo sababu halijatangazwa bado; akiamua hivyo atawaita leo (kama bado hajawaita); ili kuweka mambo sawa .... vinginevyo kesho baraza ni CCM watupu.
Nitashangaa sana kama Anna Makinda atapewa hiyo nafasi ya u-PM ... inasemekana huyo mama hana hata mume; sasa mtu anayeshindwa "kuongoza" famlia yake ataweza kuongoza watu milioni 40??!!
Mh. Spika nimetafakari kwa kina sana jambo hili, nikajiuliza kulikoni mpaka watu wazima wakakaa na kuamua kufanya haya nimetafakari sana na kugundua haya yote ni Uwaziri Mkuu it is their wish which am going to grant Mh. Spika nimetafakari sana jana usiku juu ya jambo hili, nimeamua kumuandikia...
JK hawezi kumpa Mwakyembe u-PM: never!! ... sana sana anaweza kuambulia uwaziri au unaibu waziri. Mwakyembe ana uwezo sana lakini yuko the other side of the bench.
Taarifa ya uhakika ni kwamba serikali ndiyo inagharimia safari na matibabu; kama ambavyo hufanya kwa vingunge na watu wengine muhimu wanapopelekwa nje kwa matibabu. Hayo ni maagizo ya JK alipomtembelea mgonjwa.
Mimi bado naamini mabadiliko ya Baraza yanafanyiwa kazi na yatatangazwa. Nadhani JK hakutaka kuwapa "wasiwasi" mawaziri wake - idea ni kuwafanya wasi-lose concentration katika wajibu wao wa kila siku.
Yeye (Dr Bamwenda) amenukuliwa Tanzanet akisema:
We intended to radically transform the organization into an internationally accredited Center of Excellence . We prepared new scientific frontiers, a Strategic & Implementation Plan, secured a gurantee for a extrnal grant to implent it ,and we...
Wakuu,
Kwenye ile kamati iliyo-share nobel peace prize na Al Gore kuna watanzania wengine watatu (jumla wanne pamoja na Prof Yanda). Wengine ni Dr. Willy Makundi wa UC Berkerly,Marekani, Prof. Mwandosya na Prof. Katima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.