Mimi nafikili mtanzania anayefa kuwa rahisi kwanza awe nauchungu wa rasimali zetu,hamasa ya mandeleo,awe na huruka ya kutetea masirayi ya wantanzania ajuwe wapi tumetoka na wapi tuna enda na mwisho kuheshimu mila na dini za mtanzania
raisi wetu inabidi apunguze safari za kuunganisha i know he working hard kwasababu anatakiwa kupunguza majukumu ya nyumbani na serikali and he need time to rest kwasababu nchi bado ni maskini kutoka kwenye wimbi hili inahitajika kuondoa mafisadi wote
Tatizo maisha yanapokuwa magumu hata challeng zinakuwa kubwa those who come with that idea are pple who failed to be enterprenuer any way this sholud be challenger to police,army and citizen
NO guys their just foolish us yani muda wote walikuwa together karibia uchaguzi ndio matatizo yame anza alafu wanasema wakati our city barabara zake ni mbovu mfano ya mbalizi road(city centre) na meta kushuka mabatini kwanini wasikae chini MPS na RC waunusuru mkoa wao kuliko kujibishana kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.