Search results

  1. KAGAMEE

    Viongozi Azam kukaa kwenu na wachezaji kwa ajili ya kuikabili Yanga leo ni danganya toto

    Hii Yanga inawatesa watu wengi sana.
  2. KAGAMEE

    Simba ilikuwaje wakamuuza Bwalya?

    Ongezea wamemtoa Phiri wakamsajili Fredy🤣🤣
  3. KAGAMEE

    Uwanja pekee unaoweza kujengwa pale jangwani ni wa kufugia majini

    Ila bongo🤣🤣🤣
  4. KAGAMEE

    Ni sahihi kunywa dawa na maziwa mgando (mtindi)?

    Hii dawa inaitwa FENZA ni dawa anakunywa mjamzito anakunywa kidonge kimoja kwa siku.
  5. KAGAMEE

    Ni sahihi kunywa dawa na maziwa mgando (mtindi)?

    Asante.Nilimaanisha mtu kunywa maziwa mgando baada ya kumeza vidonge.
  6. KAGAMEE

    Ni sahihi kunywa dawa na maziwa mgando (mtindi)?

    Mtutsi na mqziwa ni mapacha mkuu
  7. KAGAMEE

    Watoto 300+ Dodoma kulishwa wali wenye virutubisho kutoka USAID

    Wanaenda kuzalisha mashoga wa kutosha
  8. KAGAMEE

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Nina shida ya miguu kuwaka moto sana hasa usiku nishapima diabete sina.Naombeni dawa ya kienyeji tafadhali
  9. KAGAMEE

    Ni sahihi kunywa dawa na maziwa mgando (mtindi)?

    So maziwa flesh na mgando yana nguvu sana katika kuua nguvu ya dawa?
  10. KAGAMEE

    Ni sahihi kunywa dawa na maziwa mgando (mtindi)?

    Wakuu kwema? Ni sahihi mtu kunywa dawa (Vidonge)na akatumia maziwa mgando? Asanteni
  11. KAGAMEE

    Mwigulu ni kirusi kwenye soka letu

    Vitu vingine muwe mnaongea kwa ushahidi ili ikitokea ukaitwa sehemu uwe na majibu yanayojitosheleza.
  12. KAGAMEE

    DOKEZO Mwanangu ameuawa kwa kupigwa na Mwalimu lakini kesi inazungushwa

    Nilitaka kushangaa hizi tuhuma juu yako maana nakujua vizuri.Binafsi mwaka jana nilikuwa na shida nikakutumia sms usiku saa nne usiku nilishangaa kuona unanijibu.Upo vizuri sana kufatilia mambo yanayohusu wizara yako maana ni nadra sana kumuona Waziri anajibizana na wananchi tena kwa sms .Big up...
  13. KAGAMEE

    Tusizuge na tuache Unafiki ukweli ni kwamba tuliomba hadi hata Kuroga tupangiwe na Asec ila Jini limeshindwa safari hii

    Siku zote mnakalia kuongea mechi zetu kuja kustuka mmepigwa 5 nje ndani dadekii
Back
Top Bottom