Nilitaka kushangaa hizi tuhuma juu yako maana nakujua vizuri.Binafsi mwaka jana nilikuwa na shida nikakutumia sms usiku saa nne usiku nilishangaa kuona unanijibu.Upo vizuri sana kufatilia mambo yanayohusu wizara yako maana ni nadra sana kumuona Waziri anajibizana na wananchi tena kwa sms .Big up...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.