Kwani jioni mbali?Tutawajua basi nyie CUF!CCM,CCM,nakereka kweli kuiita Yanga CCM,mbona basi huyo Rage wenu hamumfukuzi,si ni CCM,tena yuko tayari kufanya lolote kwa ajili ya CCM,si mnakumbuka kule Igunga alivyotinga na mguu wa kuku kwenye kampeni za CCM!Mbona hata siku moja sijawahi kumuona...
Hata hao akina Mkono na Fulikunjombe nao ni wanafiki tu,yamesemwa mengi juu yao, hata Nape amekiri kuwa hiyo hoja iliibuka katika NEC, wanataka ushaidi gani tena, kama wan nia ya dhati kweli na kupambana na ufisadi, jitoeeni kwenye hicho chama cha mafisadi sio eti mnasubiri wawafukuze!
Ajabu...
Nomba wana JF mnielewe, siungi mkono ufisadi na ninamchukia sana fisadi,na kwa kweli kabisa nilikuwa namchukia sana Lowasa kwa sababu ya ufisadi, lakini Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, mimi msamha kwake nimetoa.
Kuna swali ambalo naomba kila mmoja ajiulize,kwa nini Lowasa...
Huu ndo muda wa kuonyesha mabango yetu,ujumbe binafsi haukatazwi,KARIBUNI WOTE! Duhh Alshabab wanashambulia maandamano ya Jukwaa la Katiba na ya Chadema tu?Sababu ya kusema eti CCM nao waliomba kufanya maandamano katika tarehe hiyo hiyo 26/11,sioni kama ni sababu ya msingi kuzuia...
Blandes atuombe radhi,binafsi sikuwahi kusikia wala kuona akifanya mikutano na wananchi na kutueleza kuhusu katiba,aache kujipendekeza.Kama vipi tutakutana 2015 atakapokuja tena kutuomba kura!Atueleze ni lini na wapi tulimtuma,aache kutudhalirisha,Wanyambo ni watu makini sana hatuwezi kumtuma...
Hilo ndo tatizo la viongozi wa CCM.
Sasa tuseme anataka kutwambia raisi aliyepata kura zisizozidi milion 6 kati ya Watanzania milioni 42 ndiye amechaguliwa na wananchi?
Kwanza hata neno Wanaharakati sijui kama anajua maana yake, Rage nenda darasani bwana! Inawezekana leo kama angekuwa anarudi...
Mrema alisema jana kwamba hata mkitoa maoni kwenye hiyo kamati si lazima yote yatekelezwe,kwani ripoti ya Jaji Nyalali kuna mambo mambo yalipokelewa na mengine yakaachwa vivyo hivyo kwenye hiyo kamati itakayoundwa.Wenye akili muelewe,kamati ya kukusanya maoni ni longolongo tu katiba yao tayari...
Pole sana,najaribu kujiweka kwenye viatu vyako,I can feel the pain,miaka 3 bado ni mtoto mdogo sana unahitaji malezi ya pande zote mbili.Sikatai baba nao wanakosea,lakini mama zangu, na dada zangu jambo moja tu nawaombeni,ugomvi wenu wa wewe na baba yasiwe mateso kwa mtoto!Mimi nina dada yangu...
Hata mimi niliiona hiyo picha lakini nilipofuatilia mpaka chumba cha maiti pale Muhitatu hospital ndo nikagundua kuwa kumbe huyo aliyekufa sio mimi!Kweli duniani wawili wawili,ila sasa hapo nimebaki mwenyewe huyo wa pili ndo amekufa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.