Hallow great thinker hebu tusaidiane ni vitu gani vya kubeba kwenye interview iyo june 13 TAIFA maana tusije tafutiana fitina kwa kukosa barua ya mtendaji wa kijiji? Vp na mkande nje lazima uhusike? Mwenye uzoefu wa INTERVIEW iz tupeni maujanja
Mimi ni Mwl mwenye professional kama 3 iv na nimeajiriwa kama Mwl na kwa sasa nafundisha chaka moja hatari naomba msaada wenu kama nataka kufanya Categorization inakuwaje hapa maana halmashauri ambayo nipo ni fitina tupu mie nataka nibadilishe kazi nikiwa serikalini kwa kuomba hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.