Kwakweli hawa jamaa sasa wamevuka mipaka, sababu wao saiv wanahela wanajiona wamefika? alafu wanaonekana bado wana utoto,wasingewajibu wenzao badala yake wangekaa kimya tu kwani wana makosa,wao wenyewe kiingereza kinawapiga chenga,na ifike muda wajue kiingereza sio lugha yetu. wakae wakijua kuwa...
Duh! mbunge wa kinondoni anafanya nini sasa? Alafu hapo kwa mtogole ndio kunasifika kwa vibaka,sasa vijana hao wafanye nini kama wametengwa kiasi hiki? Maisha bora wanayoyasema yako wapi?
Biblia inasema twende mbele ya Mungu kwa kicho na heshima,sasa simu inapiga kelele sio ustaarabu, kama unaona una ishu muhimu, basi weka hata silent, utakuta missed kol, then utawatafuta wote waliokupigia. Kwanza unapigia watu makelele wanaotaka kusikiliza ibada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.