Sasa imebainika wazi waliomuua aliyekuwa waziri wa Fedha Dr.Mgimwa.
Watuhumiwa hao walitumia ustadi na umakimi wa hali ya juu kuhakikisha kuwa huyu waziri anaondoka katika nafasi ya Waziri wa Fedha kwani anaziba mirija ya uchotaji wa fedha za Escrow. Hata mabepari hao inasemekana walianza...
Jana viongozi wa CCM waliwaita baadhi ya wajumbe wa kamati ya PAC kuwashawishi na kuwaomba kuwa wasisitize ripoti hiyo isiingie bungeni.
Waliokuwapo ktk kamati hiyo ni Maswi,Muhongo,naibu katibu mkuu Mangula.
More to come...
Kamati ya Zitto kabwe imeona umuhimu wa kuazima majembe matatu kusaidia katika kuandaa ripoti ya kuwasilisha bungeni kutoka katika taarifa ya CAG iliyowasirishwa ktk kamati ya PAC....Majembe hayo ni:
1. Luhaga Joelson Mpina-Mbunge wa Kisesa(CCM)-Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya uchumi viwanda...
Anaitwa Luhaga Joelson Mpina, Mbunge wa Jimbo la Kisesa Meatu(CCM).
Ni miongoni mwa vijana machachali na wenye uelewa wa kutosha juu ya kazi wanazofanya....kuanzia sasa ntaanza kufuatilia nyendo zake na kuzibwaga hapa.
Naomba tufuatane sote kwa pamoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.