Hp 8440p used . Ipo Dar - Tabata . Battery inakaa na chaji zaidi ya saa 1 . Michubuko midogo midogo kwa mbali ipo . Njoo DM tuyajenge uje ukague mashine ujibebee
Sent from my iPhone using JamiiForums
habari za muda huu waugwana niwape pole na mihangaiko ya kutafuta riziki .
Mimi kwa jinsia ni (ME) ni muhitimu wa shahada ya kwanza ya manunuzi na ugavi katika taasisi ya uhasibu Tanzania(TIA) ndio kwanza nimemaliza shule mwezi mmoja uliopita (nasubiri matokeo) . baada ya kurudi mtaani huku bado...
Una pesa kidogo lakini na ww unatamani kumiliki hii mashine kwa dola 100 tu za Obama unapata yako chap mpya full box ni hizi clone au copy mtaani wanaziita mchina japo ni made in korea . kila kitu sawa na original mpaka sensor inafanya kazi , tofaut yake na original ni kwenye camera na memory
Iko katika hali nzuri sana in hizi wanaita copy au clone mtaani wanaziita mchina japo ni made in Korea , Lila kit sawa na original kasoro quality ya camera na memory
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.