Matatizo ni kawaida kwa binadamu we msukule,ulitaka upigwe wewe kama ni kitendo kizuri mbona ujaenda wewe kukata mauno nyau we!!!:peace::peace::peace::peace:
Akuna majanga wala pole hapa kwani tangazo limeisha toka kama hamtii itawapata ya kichwa ndo mtatambua kuwa wifu au wifi,na hii misukule yote ndo inashadadia mambo ya kipumbavu,pigaaaaaa
kwanza mweshimiwa ujatuambia unatokea wapi?pili ninauwakika hujui vigezo vinafyo zingatiwa sehemu kuitwa jiji,tatu unamatatizo binafsi na nina wasisi wewe(ni nsukule)jibu ninalo taka nikujibu niambie unatokea wapi? bana usije ukaniambia undokea dar mara mlio wengi ni washamba mkifika dar...
Ilo Jeshi kama limeshindwa kuwalinda wakiwepo i mean kabla hawajatekwa,wataweza vp kuwasaka walipo? cha msingi we amilli Jeshi mkuu piga chini jeshi lote kisha omba msaada wa jeshi nchi zingine,maana kama sasa wamefika 284 hiyo dalili ya kuiteka Najeria nzima,na hao BOKO haramu si watu wa...
Hawali walitangaza kua ambae ni Mwanachama wao anaweza kuchukua nusu ya mchango wake endapo anadharula,kama kodi ya nyumba,Elimu na vingine, cha kushangaza mtu ukienda kuchukua wanasema umekopa hapo mi sijaelewa vizuri unakopa vp pesa yako?naomba msaada wa maelezo kwa yule ambae amewaelewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.