Habari wanajamvini...
naomba msaada kwa hili ... hivi unaweza kujua unamimba ndani ya siku 13? Au nimewahi kupima?? Maana UPT unaniambia negative? Au nisubilie wiki ingine zaidi???
Naomba muongozo tafadharii
Happy Easter Jf
Naombeni kuuliza? Hivi unawezaje kuishi na mwanaume ambaye ana tatizo la poor communication? ??? [emoji35][emoji35][emoji35] yani anaweza kukaa hata siku tatu asikujulie hali na hata ukipiga simu Mara nyingine hapokei ?? Nilimfatilia na kuhisi ana mwanamke lakini wapi ?? Hana...
Habari zenu wanajamvini
nimekutana na issue hii hapa kuna kijana tunafanya naye kazi ofisi moja , jana alinipa mkasa wake kwenye ndoa yake ni kuwa yeye ameoa zaidi ya miaka 11 nyuma lakini kipindi hicho chote hana raha na ndoa yake wala mkewe na sababu ya kutokuwa na raha ni ndoa zile za mimba...
Habari wadau..,
Jioni hii yamenikuta nimetoka ATM nikachukua laki nne na risiti ikaandika hivyo hivyo, nilivyochukua hizo pesa sikuhesabu nikaweka kwenye bahasha maana nilikuwa naenda kumlipa mtu pesa zake.
Nilipofika kwa jamaa tunazihesabu zipo laki tatu na nusu 350,000/= duuh nikaangaika...
Habari wanajamvini... samahani rafiki yangu ameniuliza swali nimeshindwa kumjibu nikaona sio vibaya nilete hapa mtusaidie....
alikuwa kwenye danger akasex baada ya hapo siku ya tatu baada ya sex usiku akanywa dawa hizo màana walisema 72 hrs maana (siku tatu) sasa kesho yake akasex tena na...
Aaaahhh jamani huyu mzazi mwenzangu kila ukiomba pesa yeye hana ila kila siku anakunywa sasa leo nimemuandikia message "baba swalehe vip tena leo huna pesa" amenuna wakati jina hilo na wimbo huo unaendana haswaaa na yeye mwenyewe.
Leo jioni nilienda kumpa pole ya msiba rafiki yangu alifiwa na mama yake baada ya story za hapa na pale tukaulizana habari ya maisha haswa ya ndoa yeye ameolewa Morogoro tangu aolewe ni miaka miwili tu ananiambia tangu aolewe amefaidi ndoa yake ni miezi miwili tuu mwanaume kwa michepuko balaa...
Regular consumption of quail eggs helps fight against many diseases. They are a natural combatant against digestive tract disorders such as stomach ulcers. Quail eggs strengthen the immune system, promote memory health, increase brain activity and stabilize the nervous system. They help with...
Najivunia kuzaliwa KILWA kwenye watu wa kwanza kutumia PESA Afrika, nyumba za kale, mapango ya asili, chanikiwiti, Bahari, visiwa, rasi, ghuba, Gesi na vijiji km Kivinje, Kikole, Kipatimu, Kisiwani, Kisangi, Kinjumbi, Kiwawa, Masoko, Mavuji, Chumo Migelegele, Marendegu, Mitole, Mtoni, Hotel 3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.