haya mambo ni magumu sana kwa tanzania...mambo sesitive kama haya ni vema yakaanzia katika vyombo husika vyenye dhamana...na sio kuanzia katika vyombo vya habari,hapa mnatuchanganya...hatuelewi lipi ni lipi...mi sina la kutamka hapa zaidi ya kuchanganyana tuuuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.