Kwani Daudi alipomuua Goliathi alikuwa na umri gani?
Tafadhali sana naomba vijana tuheshimiwe,tudhaminiwe na tupewe haki yetu bila ubaguzi wa aina yeyote!
Pia ijulikane kuwa ukimnyima kijana yeyote haki yake kwa ajili ya umri wake unajidhalilisha wewe mwenyewe kwani unaonyesha huna shukurani...
Majibu yake hayana uhusiano na elimu yake bali ni mawazo yaliyojaa ndani ya moyo wake ambayo yanauhusiano na msimamo wa chama chake wa kufunga mdomo wote wanaohoji utendaji wa serikali kwasababu hii sio mara ya kwanza kwa waziri kujibu swali hovyohovyo.
Wanajibu hovyo...
Tatizo sio anayetoa rushwa peke yake ila ni pamoja na anayepokea na kama tunavyojua ni afadhali mjinga sababu ukimfundisha madhara ya rushwa ataelewa kuliko mpumbavu ambae kila siku anaambiwa kwamba kura yake ina thamani kuliko hela, khanga, chumvi n.k lakini haelewi anaendelea kupokea kuchagua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.