Anamaanisha kuwa, ni wajibu wa Seikali kutekeleza vitu kama hivyo kwa hiyo hata angejenga kwa asilimia 100 hana haja ya kujisifu kwa kuwa ndiyo kazi waliochaguliwa kufanya. Serikali hii inashangaza sana inapojisifu kwa kutekelza kitu ambayo ni wajibu wao kufanya wasubiri wasifiwe na wengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.