hatua ya kwanza ni kuondokana na mindset kuwa "umelogwa" , hakuna ulozi hapa, kukosa ufahamu si kulogwa, na woga si kulogwa, na amini kuwa kura ndio ngao yako pekee, usipopiga kura ujue unakabidhi mamlaka kwa wasiostahili..
Salam Wakuu,
sasa tumeona jinsi wezi hawa wanavyotapatapa kutumia kila chombo cha dola kuzuia ripoti ya Escrew kusomwa, mahakama ndiyo hiyo imetoa order kupiga stop ripoti ili umma usijue ukweli, na hatujui leo jioni Bunge litaamua kutii hiyo amri au litaendelea kama linavuodai, huwezi jua...
Though Scotland has voted no to its independence, there is a lesson learnt by many countries around the world including African countries. Does this referendum have any implications for the future of african states?
Wanapendekeza kujitoa ICC kama kundi la nchi za afrika, na sio kujitoa UN. Pia ICC ina-deal na makosa ya jinai kimataifa, kwa hiyo haihusiani na viongozi wa kiafrika kulindana katika mambo ya rushwa na ufisadi. Nyie wananchi ndio wenye mamlaka ya kuwawajibisha hao..
sidhani kama wanaonewa, au labda niseme "kuonea" sio neno sahihi kulitumia. Ukiangali kesi nyingi za ICC kutoka Afrika utaona kuwa ni nchi za kiafrika ndizo zimeiomba(request) ICC kuingilia kati kuchunguza makosa ya jinai yaliyotendeka kwenye nchi zao. Mfano ni uganda, congo, na Jamhuri Afrika...
Kumpata aliye upload wala sio isshu kubwa, ishu ni utayari wa kufanya uchunguzi halisi.
What they can do ni ku-waomba Youtube watoe internet protocol address(ip adress) aliyotumia huyo jamaa ku-apload, kumbuka kuwa kila unapoingia kwenye internet kampuni inayokupa huduma ya internet ndio...
watu wanasema EL hasafishiki lakini kiukweli , kwa maoni yangu sioni hasa huo unaoitwa uchafu. watz ni watu mashabiki
sana, wasiopenda kuchambua ukweli na kutambua tofauti kati ya mambo wanayoaminishwa kuwa ni ukweli na ukweli wenyewe. EL alijiuzulu kwa kashfa, hiyo ni kweli. Lakini leo hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.