Ha ha ha ha ! Umenikumbusha msemo alikuwa anaupenda sana mwalimu wangu wa Physics pale Tosamaganga, pumnzika kwa aman Mwl Sika
Sent using Jamii Forums mobile app
Gwajima hajalipiza kisasi! Amefichua uovu! Baada ya kuona kiongozi anafanya mambo yanayoleta wasiwasi wa uwezo wake, akaamua kufuatilia ndo akagundua kuwa alipata zero yaani alizungushaaa.
Kwa hiyo unadhani zikiwekwa kwenye fixed account zinafungiwa kama umeweka kwenye kibubu? Mzunguko wa fedha unaongezeka kwani watu wanakopa na na kuzitumia kwenye matumizi mengine panoja na kufanya investment
Kwa akili ya kawaida kabisa haiwezekani high profile criminal akasafirishwa bila kufungwa pingu halafu eti alikuwa anatoroka akapigwa risasi. Tungesikia msafara wa police umevamiwa kwa lengo la kumtorosha, kusingekuwa na maswali mengi juu ya kumpiga risasi. Kuna kitu si bure. Ila ipo siku ukweli...
Na waliopiga za siri wakasema hapana kwa sura zote 1 mpaka 10 itakuwaje? Na vipi hao mnao waita kwenye kamati ya majadiliano wangepika za hapana kwa siri ingekuwaje? Jamani watanzania mnawakadiria vibaya , si kama mnavo wadhania. Uhuni mtupu
Alicho fanyiwa mama huyo ni kitendo kisichovumilika hata kidogo! Kuna kila sababu mashirika ya kutetea haki za binadamu kuingilia kati, ndugu zangu watanzania kama kweli imefikia hali hii katika mahakama zetu tumekwisha sisi walalahoi. mama ambebe mwenyewe tumboni miezi 9, leo sababu tu ya pesa...
Msiwalaumu! Wanazungumza kilicho moyoni. Wako bungeni kwaajili ya mshiko, matatizo ya wananchi kwao sio kitu, ndo mana wanadai posho ziongezwe. Posho ndo ziliwapeleka mjengoni.
Kabla ya kumtuhumu Dr, unajua wajumbe wote wa bodi ya wakurugenzi? Na uamuzi huwa unafikiwaje? Ni Dr huamua peke yake? JD yaDr unaifahamu? Halafu swala la wateja weng kutoka kaskazin iwe tuhuma, je umeshawahi jiuliza kwa nini Dar wafanyabiashara wengi ni wachaga? Wamependelewa na nani? Kwa nini...
Meseji ya Askofu ni kubwa mno. Ebu fikiri siku unasikikia familia ikilalamika bora fulani angekuwa baba yetu! Wakati huyo fulani ana hata baiskel wakati wewe unakila kitu? Au mkeo analalama bora fulani angekuwa mume wangu! What does it imply? Your useless father, irresponsible father or
nashangaa watu wanapojifanya hawajui kwamba hakuna jeshi lililofanikiwa kudhibiti nguvu ya umma, tazama Misri, libya sio kwamba jeshi lao ni dhaifu. Wananchi wakiamua ndivyo inavyokuwa. Amani ya nchi yetu inategemea sana busara ya majeshi yetu katika kutekeleza wajibu wao. Chonde chonde jeshi la...
Kaka ulikuwa unafuatilia kweli? Nahisi umedandia bila kujua wamefikaje kwenye maamuzi magumu na sahihi, hao madiwani walipe nafasi wakajifanya maarufu kuliko chama na gharama yake ndio hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.