Nimejaribu kupitia nyuzi nyingi tu humu jukwaani nimegundua kuna kitu kinaendelea.
Uongozi wa JF na Invisible wao wanawapa Ban washabiki wa Timu moja tu lakini wa timu nyingine hata zitoe maneno makali kiasi gani hawaguswi.
Uongozi wa JF ujitathmini kama unatenda haki la sivyo ujitangaze kabisa...
Mimi nadhani wamefanikiwa kuwakomoa watu wasiohusika katika madai yao. Ningeona wamefanikiwa kama wangeyatia moto magari yote au kuyaharibu ili kuwakomoa wamiliki ambao wamekataa kuwapa mikataba na maslahi mazuri.
Kama Toto African na Mgambo Shooting tu, hayo ndiyo malipo ya kukamia mechi moja tu nyingine zoote wanaachia. Acha washuke ili wajue ligi haina timu ya Simba pekee.
Nafurahi umekubali kuwa yanga ni mabingwa feki, unawezaje kutumia milioni 928 ili upate milioni 70? unafikiri 928M zimetumika kusafirisha timu mikoani tu?
Hii inadhihirisha jinsi watu walivyo na unazi kuliko kuifahamu soka ya uwanjani. Ungekuwa sahihi kusema hivyo kama Simba ndiye angekuwa amefungwa bao 2.
Yanga haina uwezo wa kuifunga Azam, visitafutwe visingizio. Yanga ameshinda sana kwa Azam na Simba ni sare vinginevyo kichapo tu, hizo huwa hazinunuliki kama Polisi FC na Coastal Union.
Ile mechi kweli Mpesa ilitumika maana yule jamaa alicheza rafu ya kijinga ili apewe kadi tu yeboyebo ipate nafuu. Maana bila hiyo pale zisingepungua 5.
Hao wote wateja tu, hatuwezi kushabikia wateja wetu.
Hatuwezi kushabikia Bingwa wa Kichina wala Bingwa wa Zamani Feki. Fanicha za kichina kiboko yake Mvua tu na mvua ndiyo Simba FC.
Hatimaye Simba imedhihirisha Bingwa wa Zamani na Bingwa Feki mpya wote ni sawa.
Kiboko ya Furniture za kichina Mvua tu nayo imewanyeshea wote ndembendembe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.