SerialI tupeni mikopo ya bei nafuu..ili pale tulipo kwama tujikwamue... tuboreshe biashara zetu..kama mimi nimejiari kwenye biashara ndogo lakin ili niendelee nakutana nachangamoto ambazo Vila kukopeshwa inaniwia vigumu...natumai watu Wa serikali mnapitia humu basi nisaidieni
usikate tamaa..Komaa tafuta tubiashara ya kuingiza kipato..Mungu ndie mtoa riziki..kama IPO IPO tu.kuzaa si kosa LA jinai kama nyie wengine mnavyomjudge mwenzenu.. take it from me.. maisha ni kutafuta na sio kutafutana. Nakuelewa situation uliyopo..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.