Nimeishia hapo kwenye matumizi ya dawa za kienyeji,wazungu walivyofanikiwa kuwaondoa watu huko ni nani leo hii anatumia dawa hizo za kienyeji??
Pia unachanganya madesa,kama umesema wazee wazamani walitumia pombe na sigara but wakaishi miaka mingi,hao hao wazee walitumia madawa ya kienyeji...
Hii Nchi viongozi utadhani hawana exposure,Wananchi nao sisi ni matahira tu.
Yani Nchi iliyozungukwa na maji,makaa ya mawe,upepo,gas kila eneo inakosa umeme megawati 3000 tu huku kuna kampuni moja tu huko Europe wanatumia megawat 2000.
Yani umeme umekuwa umeme toka kipindi cha Nyerere hadi...
Ni lazima tukubali kuwa eneo la mashariki ya kati kuna utajiri sana wa mafuta na gas.
Na sote tunakubaliana kuwa bara la ulaya chanzo cha kuja Afrika na maeneo mengine ilikuwa kutafuta malighafi za viwanda vyao,wao hizo resources zilikusha zamani sana.
Sababu kubwa ya kuwekwa Taifa la Israel...
Dunia ina mambo sans,watu wanaanzaje kuondoka wakiwa waarabu wanarudi wakiwa Wazungu.yani ukanda wote una waarabu halafu Taifa moja tu ndio lina wazungu-haya ni maajabu.
Hata Afrika mataifa ya waarabu yapo ukanda moja,sasa ilikuwaje kukawa na wazungu katika kati ya Waarabu????
Mwenye uelewa...
Kuna sababu kadhaa zinafanya Wanaume kusita sita kuhudumia watoto hata baada ya kuachana na Mke wake.
1.Mwanaume akihisi kabisa mtoto husika anaweza asiwe wake-inamiwia vigumu sana kimlea mtoto.
2.Kama ndoa husika ilitamatishwa kutokana na tabia za umalaya wa Mwanamke,inakuwa ngumu sana kwa huyo...
1.95% ya usingo mothers unasababishwa na wanawake wenyewe.
2.99% ya ndoa zinazovunjika sababu kubwa ni Wanawake.
3.90% ya watoto kutohudumiwa sababu kubwa ni huyo huyo mwanamke.
Anaye tetea atetee lakini huo ndio ukweli.
Acha uongo hata kwa huyo jamaa yako wa nje tatizo ni wewe,eti unasingizia mambo ya kimungu-mambo ya kimungu ndio yapi ulishindwa kubadili dini hadi mnapanga kuoana hayo mambo ya kimungu hamkuyaweka sawa??.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.