Kuna vitu hujaweka sawa ili tukushauri vizuri,
1.Je unategemea kimaisha yani unakazi yako unaingiza kipato cha kutosha mahitaji
2.Je una familia?
** hata ukiwa na hela kama Elon musk ukiwa na stress lazima huta nenepa kamwe.
Unene ni afya ya akili kwa 80% na chakula kwa 20%
Hata kama ingekuwa ni kweli,siku zote mwambaji hatakiwi kuchagua.
Inasikitisha sana kwa population ya 61M na ardhi ya sq.945K ambayo 3/4 ni arable land kuchukua mahindi na Mchele wa msaada.
Sheria zote za dunia ni katili dhidi ya Wanaume,sio Ulaya sio Afrika.usipo gawana mali atakudedisha kwa sumu.
Inauma sana,una sota na jua,mvua matusi mahangaiko yote halafu Mwanamke anatafuta namna ya kubaki na vyote hivyo.
Sometime,tukiwaona akina Elon Musk,Jeff bezo,Bilget Dangote hawana...
Hivi unajua hata Russia anachokifanya Ukraine?,anapigana na Jeshi la Ukraine kwenye mji husika akiuchukua ana uweka kwenye himaya yake anaujenga kwa kujenga makazi na kuweka huduma za kijamii.kisha ana advance kwenda eneo lingine.
Kwa miji ambayo amisha ichukua na kufanya hivyo amejitahidi sana...
Nchi za wenzenu zenye hivyo vitu havikuja kwenye plate,nguvu ulizotumia kutafuta hizo hela kujenga nyumba zitumue kwenye kusaidia kutoa elimu kwa wenzako ili mfanye mageuzi.
Shida sio simu tatizo ni TBS,Tanzania sasa hivi ni dampo la vifaa vya electronics fake na vyakula visicyo ba ubora.
Na mbaya zaidi zaidi ya 99% ya watanzania hatuna ujuzi na mambo ya electronics ndio kabisa.
Nchi ya hovyo sana hii,hamna control kabisa-wafanyabishara wanafanya wanacho taka ili...
Nani amekuambia tafsiri ya kuwa na pesa ni kuwa na akili nyingi.mtu kana Nikola Tesla alikuwa na akili nyingi alikuwa na pesa.
Kuwa na pesa ni game of chance haina uhusiano wowote na akili.
tuseme tu ukweli hata humu ndani ni nani anaweza kumheshimu Mwanamke? hata kama ana akili kama Mchwa.Hata Mwanamke pekee hawezi muheshimu Mwanamke mwenzake vp mwanaume anawezaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.