Wee vipi ebu jiamini basi.Mimi nimesoma sociology many year back niko kwenye ma NGO usiwe na wasi wasi we maliza shule yako kazi ziko nyingi sana ila tu uwe na subira kwa sasa soma sana. Kwa mfano research nyingi watu wa sociology wanafanya, NGO kibao zinahitaji watu wa Sociology kwa upande wa...
Pesa zote zinapitishwa na bunge hasa nyongeza za mishahara na kutangazwa na waziri husika.Ukirejea
kipindi cha bunge la bajeti serikali ilitangaza kima cha chini cha sh 135,000/= na kusema serikali haiwezi
kuongeza pesa zaidi ya hiyo kutokana na ufinyu wa bajeti.Swali la kujiuliza hizo pesa...
Chukua salary slip zote za toka ulivyoanza kupeleka michango yako, nenda branch ya NSSF michango yako inakopelekwa then udai hiyo tofauti na waibadilishe, pia yawezekana mwajiri wako alipeleka pungufu kwa maana hiyo pesa iliyoingia ni ile cheki ya mwajiri wako aliyoipeleka NSSF.
Angalia pande...
Hili tatizo ni timing bombing kama baba wa huyo mtt ni mkorofi, any time can happen jamaa anaweza akaja anytime kwa husband wako, usiposema kwa ss anaweza kutumia advantage kukutumia kwa lolote coz akitaka kale kamchezo huwezi kukataa kwasababu atakuambia nakuja nyumbani kwako kumfuata mtoto...
Nakumbuka nikiwa std 2 kulikuwa na vichongeo vya penseli vilivyokuwa na kioo juu, enzi hizo tulikuwa tunafundishwa na mwl wa kike ss huyo mwlm alikuwa anapenda kukaa kwenye dawat langu akisahihisha daftari ss nilikuwa naweka kile kichengoe chenye kioo chin katikat ya miguu yake bila yy kujua ss...
Ur very right, yan saitama anataka yy kuasess lakin hajazungumzia upande wake, anaonesha jinsi gani alivyokuwa na mfumo dume
Cha msingi hata huyo atacayewin inabid akuchunguze kama chemestry zenu zinaendana
Thx mkuu its very cheap, iyo red color ni kwamba kuna typing error au ndio price yenyewe
Ngoja niwachek fresh kwenye web yenu then nitawacal for more info.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.