Mtani Pascal usitufanye mazuzu,kwa ripoti hiyo , jina mh.Magufuli linakuja je kwenye uzi hata kama ripoti ni ya 2019.Hizo pongezi mwaka 2020 au mwingine wowote taarifaa zikija kinyume utamlaumu nani huyo huyo mheshimiwa au?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila vijana wa CCM mmechoka mmekazana kusapoti ujinga huu kama vile hamnazo,hivi mkuu wa mkoa anamamlaka ya kutoa/kugawa mali za chama? Jitafakarini.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.