Waungwana...ninabadilisha makazi na sasa naelekea pande za Mbeya mjini...nahitaji msaada wa kupata nyumba vyumba viwili,jiko,sitting room toilet private, maji na umeme!isiwe nyumba ya kizamani...bajeti yangu laki moja!
Waungwa salama!
Nimeamua kuishi Morogoro, kazi zangu nafanyia mvomero! Nahitaji nyumba ya kuanzia maisha iwe maeneo ya barabara kuu ya Moro-Dodoma! Iwe na chumba kimoja self, jiko, sebule, maji na umeme wa kujitegemea! Ikiwa getini itakuwa ni jambo jema!
Natanguliza shukurani
Baby wa kitaa biashara imenishinda!kukaa kibandani kusubiri wateja ambao hata sijui watakuja au la imekuwa ngumu!nauza line yangu ya TIGO PESA bei lakin nane tu!changamkieni basi mwenzenu nimechoka na biashara!
bandugu!!baada ya kusota kwa miaka kadhaa kuutafuta uwakili hatimaye mwenyezi mungu amejibu maombi na juhudi zangu!nimefaulu mtihani wangu wa law school!tatizo ni kuwa natakiwa kusigniwa certificate of character na petition na advocate aliyefanya kazi kwa angalau miaka mitano!!!nimfuate nani kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.