SHERIA YA MKE MMOJA ILIASISIWA NA WARUMI KWA MAKUSUDI YAO ILA KUOA WAKE WENGI SIO TATIZO ILA KUMILIKI WAKE ZAIDI YA MMOJA NI VERY DIFFICULT HASA KWA SHERIA ZA KIMAGHARIBI ILA KWA WAYAHUDI NA WAARABU NI JAMBO JEPESI
UMEPEWA SH NGAPI KUJA KITISHA WATU? ETI UKIMWI NI UGONJWA!! FIKIRISHA AKILI NDG KABLA HUJALETA MABANDIKO HAPA. TOFAUTISHA
1 KIRUSI
2 UKIMWI na
3 UGONJWA
Usiamini kila asemalo mzungu
Mtoa post huenda Umelewa au unataka Sadaka. Kwanza hujui tofauti ya uzinzi na uasherati. Hivi unajua kwann amri walipewa wana wa Yakobo na sio Waajemi?
Ww ndio huelewi unachonena maana hata huo UKIMWI hujui ni kitu gani. Hadi Sasa unajua UKIMWI ni ugonjwa sasa huoni ww bado una akili mgando? Funguka ubongo wako utaelewa kinachua watu acha kusingizia UPUNGUFU WA KINGA MWILINI.
Tofautisha VIRUSI NA UKIMWI ndg. Hapo hakuna ugonjwa kati ya hivyo viwili. Kuna magonjwa yanayoua mkama TB, KANSA, MALARIA nk. Usiogope ngono kwasababu ya Ukimwi bali jiheshimu na kumweshimu Mungu maana UKIMWI ni miradi ya watu wala sio ugonjwa. Kama sio Trump na Magufuli leo madakitari wa...
KUNA MWANAMKE ALIKUWEPO KABLA YA EVA!! ALIMSHINDA ADAMU KWA TABIA NDIO MAANA UBAVU ULIYOLEWA ILI ADAMU APATE MWANAMKE NA AMHESHIMU MAANA AMETOKA UBAVUNI MWAKE. YUKO MWANAMKE KABLA YA HAWA/EVA NA ALIMTESA SANA ADAMU WAKASHINDWANA
NI MTOTO WA JANGWA MASTER. BABA YAKE KAMWACHIA MIGODI MAENEO TOFAUTI TOFAUTI HAPA TZ. YUPO JOINT NA WACHINA KWA SASA ANAPATA HELA NYINGI KUPITIA KWA WACHINA WALIOWEKEZA KWENYE MIGODI YAO
HIV/AIDS. UMETUMWA KUTUOGOPESHA AU? CORONA IMESHINDIKANA NDIO HIV/AIDS? PEP NI SUMU NDG KAMA ILIVYO ARV. VIRUS VINATIBIWA KWA KUIMARISHA KINGA YA MWILI NA SIO VINGINEVYO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.