Watanzania tuelewe kuwa serikali imejaa dharau kwa wananchi wake lakini Mkwere aelewe kuwa saa imekaribia atakapoonja joto ya jiwe hawezi kutufanya wapumbavu kiasi hiki.
Wao posho za kumwaga kwetu bajeti haitoshi na ndo kundi pekee tunaolipa kodi wao aaaaaa.Mungu hawezi kuruhusu udharimu huu...
Nakuuunga mkono 100/100 huyu jamaa upeo wake ni mfupi sana na isitoshe anashabikia kitu ambacho hakijui.Haangalii hata chaguzi za wenzetu like USA na hata Zambia jirani zetu,Ghana nk
Au nikibara wa C HAMA C HA M AFISADI?
Kwa rais wa nchi hii aingii akilini hizo pipi alibeba intentionally kwa ajili ya watoto au alikuwa anatumia mwenyewe?!Tusiyachukulie mambo simple simple tu angefanya hivyo mpita njia kusingekuwa na shida but Prezdent hii imekaa kushoto wana JF.
Katika ziara zake mikoani anatakiwa kufikiria...
Huu ndo wakati wa kupambania yupi mkweli na yupi alitumia hii fimbo ya ufisadi kujifagilia mwenyewe.Si wote waniitao Bwana bwana wataurithi ufaulme wa mbinguni.
Mwakyembe na wenzake wachague moja ni nani watakayemtumikia kama ni wananchi au chama cha mafisadi a.k.a. CCM.
Historia inatukumbusha...
Ni kweli kabisa shida ya Muungano ni ugumu wa maisha unaosababishwa na ufisadi wa serikali ya CCM inafikia hatua hata huku tanganyika itafikia kipindi lazima kieleweke bado kidogo tu maana hatuwezi kuendelea kuona wachache wanaishi maisha ya anasa wengine tukitamani kujishibisha kwa mabaki ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.