Wana JF wasalaam. Jana nimefuatilia kwa ukaribu sana hotuba ya JK, sijaona chochote chenye kufikirika "rationale" alichosema huyu bwana zaidi ya kuvuta kamba kwa serikali mbili.
Mimi naweza kusema kwamba angeambiwa aongee kabla ya mzee wetu mwenye busara za Nyerere, warioba; asingepata hata...
Mie nafikiri hawa wanafiki wa ccm wakiipitisha rasimu ya serikali mbili, hawatakuwa tena na dhamana ya kuchaguliwa viongozi 2015.
Haiezekani wananchi tutoe maoni halafu yapuuzwe kiasi hiki tena na kiongozi mkubwa wa nchi.
Rais jana kaja akiwa na majibu, tena kadesa yale alosema warioba. Ni...
Wana Jf popote mlipo.
Tupo tumetia kambi kata ya tungi tunalinda kura.
Maccm wameleta kundi kubwa na DCM kwa lengo la kupiga kura tumewatimulia mbali.
Cha kushangaza wamekimbia kitu kinachodhihirisha kwamba ni wezi. Pia wana masanduku ya kura bandia kwenye magari wanavizia jinsi ya...
Makamanda, ijisasa tupo viwanja vya tungi kambini.
Watu ni wengi maelfu kwa maelfu uwanja umerindima kweli kweli.
Tundu lisu na hoja ya utetezi wa ukombozi wa wanatungi. Chagua cdm kwa vile tupo tayari kuuleta ukombozi wa kweli.
Usichague tu kwa kurubuniwa kwa pesa ama kwa chakula ama...
Poleni makamanda. Kwani kuna la kuuliza? Hao jamaa njaa tu inawaendesha. Na maccm wanatumia hela ya serikali kuhujumu nchi kwa umwagaji damu.
2015 wajiandae kuingia shimoni kama Sadam Husein kuanzia huyo mkubwa wao.
Pole sana mpendwa.
Hao mashemeji ni walafi na wana tamaa za mali. Zinawahusu? Wewe simama katika sheria utashinda.
Pili usisahau kumuomba Mungu akutangulie.
Katika hiyo ishu ya miradhi, pia washirikishe ndugu zako kama kaka mkubwa akuwakilishe. Usisimame mwenyewe. Tunakuombea ushinde...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.