Demu kampigia cm boyfrnd wake
»mwanadada» halloo mpenzi uko wapi?
»Jamaa»nipo mahali napata lunch
»mwanadada»mm mwenyewe nackia njaa ucsahau kuniletea namim,chipc kuku,mayai ma3,ndizi 5 ,piza,baga,na soda ya baridi.
»jamaa»umesahau kuniagiza sufuria,vijiko,meza na viti
»mwanadada»vyanini...
Masawe kanong'onezwa na dem wake
DEMU;naomba unipe elfu2
MASAWE:hilo ckio linauma cjakuckia vizuri,labda ninong'oneze la pili
DEMU:nimekwambia unipe elfu10
MASAWE:rudi ckio la kwanza hilo ndio cjackia kabisa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.