Tatizo la viongozi wetu wanafikiri kiongozi (post yeyote0 lazima awe na hela kushinda anaowaongoza.Ndio maana leo hii kila mwanacccm anajiona anaweza so long as amekaa kwenye system muda mrefu.
Tabia ya kulindana kwa maslahi binafsi nayo ni shida nyingine kweli mtu mpaka anakuwa doctor feki ina...
Very nice JK nadhani sasa utakuwa na uwezo wa kutatua matatizo ya wadanganyika baada kucheck ubongo you can now surmone all of your leaders!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
KIFIMBO alijaribu kuweka usawa kwa wananchi wake
MWINYI aligawa fedha ka muuza karanga
MKAPA aliuza nchi kwa wageni
JK hana cha kufanya anakula starehe anawaogopa "mafisadi wenye nguvu kuishinda serikali"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.