Search results

  1. S

    Boat accident at cisily

    An accident has occurred in Egypt where a boat is said to have sunk in the Mediterranean sea. Number of people (migrants) are said to have lost their lives. Source: BBC NEWS
  2. S

    Hivi ni lini tutanufaika na mali zetu sisi watanzania?

    Tanzania katika safu ya nchi tajiri Africa na hata duniani ipo. Ila iko katika kivuli kwa maana kwamba watu wake hawanufaiki kwa lolote. Nchi ya Tanzania imejaliwa mlima mrefu kuliko yote Africa, mbuga lukuki za wanyama, madini, maziwa na ardhi kubwa na ya kutosha. Watanzania leo hii...
  3. S

    High Speed Chase Ends in US Capitol Shooting

    Kutokana na taarifa ninazoendelea ijisasa, kuna milio ya risasi imetokea katika jiji la Washington na inasemekana police mmoja amejeruhiwa "BBC na Aljazera reports". Bado haijajulikana kwamba ni tukio la kigaidi ama la.
  4. S

    Elimu na Uongozi ni msingi wa maendeleo

    Kuna vitu viwili ambavyo kuvitenganisha daima ni vigumu; elimu na uongozi. Kati ya hivi vipengele, ukikosa elimu ukawa kiongozi basi ujue hata utakae muongoza hataona kama ana kiongozi. Zaidi ya hapo, kiongozi bora. Kuna bora kiongozi na kiongozi bora. Kiongozi bora ni yule anayeona...
  5. S

    Haki ya Mtanzania

    Habari za asubuhi? Nimekuwa nikitafakari kwa undani kuona nini hasa muelekeo ya nchi yetu na haswa kuhusu upatikanaji wa katiba mpya. Nimekuwa nikishangazwa kwa upana pale ninashuhudia watu wanao onekana kwa sura wastarabu lakini nia yao ni kuharibu nchi. Kama katiba ni mali ya watanzania...
Back
Top Bottom